Hivi na Jezi za Real Madrid, PSG na Liverpool FC yangu nazo pia zina Picha za Maghorofa, Vifusi, Nyasi, Swala na Mafuriko ya Jangwani?

Hivi na Jezi za Real Madrid, PSG na Liverpool FC yangu nazo pia zina Picha za Maghorofa, Vifusi, Nyasi, Swala na Mafuriko ya Jangwani?

Jezi mbaya kusema kweli mapicha kila sehemu kama mabatiki au vitenge majumba nyasi mabanda ya kuku vichaka baa ndondi rede tenis kwa mwaka huu vinyesi FC mmebugi tuseme kweli sasa lile sanamu la posta linafata nini katika jezi jamani
Kwan Mo foundation ilifata nini nyuma 'matakon'
 
Kwan Mo foundation ilifata nini nyuma 'matakon'
Nyinyi mlikuwa mnaona raha kusema jezi yetu ina makorokoro wakati tunalipwa inaonekana jina la makorokoro mnalipenda sana milikuwa mnaona gere mkaamua muweke nanyi makorokoro jezi ina masanamu makaburi mitaro mabanda ya kuku ndondi netball sasa masoko vyoo vya uma hivi aliyedizin alikuwa anawachukuliaje nyie utopolo
 
Popote pale ulipo Uliyekuwa Kocha Mkuu wao Luc Eymail ( Raia wa Ubelgiji ) Hongera sana kwa Maono yako na Kuwaita Nyani, Mbwa na Sokwe.

Eti kwakuwa Tajiri ana Kijiofisi chake Ghorofani pale Salamander Posta nae akalazimisha Jengo liwemo katika Jezi na kama isingewekwa kuna Uwezekano Mishahara ya Wachezaji kwa Mwezi Wanachama wangetembezewa Bakuli ili Wachange na Wawalipe.

Kaeni tayari kwa Jezi za Chuo Kikuu cha Soka ( Mpira ) Tanzania Simba SC kuanzia Wiki ijayo na huenda Wengine mkajifunza ili mwakani msije tena na 'Jezi Kituko' zenu kama za Leo.
Tulieni nyie vinyeo dawa iingie

[emoji2957][emoji2957][emoji2957][emoji2957]

Na Bado huu msimu pia wetu

Tutawahonga Tena muachie tuwanyuke
 
Popote pale ulipo Uliyekuwa Kocha Mkuu wao Luc Eymail ( Raia wa Ubelgiji ) Hongera sana kwa Maono yako na Kuwaita Nyani, Mbwa na Sokwe.

Eti kwakuwa Tajiri ana Kijiofisi chake Ghorofani pale Salamander Posta nae akalazimisha Jengo liwemo katika Jezi na kama isingewekwa kuna Uwezekano Mishahara ya Wachezaji kwa Mwezi Wanachama wangetembezewa Bakuli ili Wachange na Wawalipe.

Kaeni tayari kwa Jezi za Chuo Kikuu cha Soka ( Mpira ) Tanzania Simba SC kuanzia Wiki ijayo na huenda Wengine mkajifunza ili mwakani msije tena na 'Jezi Kituko' zenu kama za Leo.
Tatizo la kubanwa mavi ukweni ndio hili sasa
 
Back
Top Bottom