Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 54,894
- 64,043
๐๐๐๐๐Mtasema yote, safari hii mtateseka sana .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
๐๐๐๐๐Mtasema yote, safari hii mtateseka sana .
Dada unapenda vitenge etieeHizo t-shirt za vitenge ndo unaita jezii?
Kwan Mo foundation ilifata nini nyuma 'matakon'Jezi mbaya kusema kweli mapicha kila sehemu kama mabatiki au vitenge majumba nyasi mabanda ya kuku vichaka baa ndondi rede tenis kwa mwaka huu vinyesi FC mmebugi tuseme kweli sasa lile sanamu la posta linafata nini katika jezi jamani
Utakula tano au ushasahauTutakutana August 13 na jezi zetu mbaya
Nyinyi mlikuwa mnaona raha kusema jezi yetu ina makorokoro wakati tunalipwa inaonekana jina la makorokoro mnalipenda sana milikuwa mnaona gere mkaamua muweke nanyi makorokoro jezi ina masanamu makaburi mitaro mabanda ya kuku ndondi netball sasa masoko vyoo vya uma hivi aliyedizin alikuwa anawachukuliaje nyie utopoloKwan Mo foundation ilifata nini nyuma 'matakon'
Tulieni nyie vinyeo dawa iingiePopote pale ulipo Uliyekuwa Kocha Mkuu wao Luc Eymail ( Raia wa Ubelgiji ) Hongera sana kwa Maono yako na Kuwaita Nyani, Mbwa na Sokwe.
Eti kwakuwa Tajiri ana Kijiofisi chake Ghorofani pale Salamander Posta nae akalazimisha Jengo liwemo katika Jezi na kama isingewekwa kuna Uwezekano Mishahara ya Wachezaji kwa Mwezi Wanachama wangetembezewa Bakuli ili Wachange na Wawalipe.
Kaeni tayari kwa Jezi za Chuo Kikuu cha Soka ( Mpira ) Tanzania Simba SC kuanzia Wiki ijayo na huenda Wengine mkajifunza ili mwakani msije tena na 'Jezi Kituko' zenu kama za Leo.
Tatizo la kubanwa mavi ukweni ndio hili sasaPopote pale ulipo Uliyekuwa Kocha Mkuu wao Luc Eymail ( Raia wa Ubelgiji ) Hongera sana kwa Maono yako na Kuwaita Nyani, Mbwa na Sokwe.
Eti kwakuwa Tajiri ana Kijiofisi chake Ghorofani pale Salamander Posta nae akalazimisha Jengo liwemo katika Jezi na kama isingewekwa kuna Uwezekano Mishahara ya Wachezaji kwa Mwezi Wanachama wangetembezewa Bakuli ili Wachange na Wawalipe.
Kaeni tayari kwa Jezi za Chuo Kikuu cha Soka ( Mpira ) Tanzania Simba SC kuanzia Wiki ijayo na huenda Wengine mkajifunza ili mwakani msije tena na 'Jezi Kituko' zenu kama za Leo.