Hivi na marais wa nchi zingine wamefanya kama alichokifanya Rais Magufuli?

dimaa

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2016
Posts
4,174
Reaction score
5,658
Siku yoyote ile huwezi ukakimbia kifo. Popote ulipo kinakufata, hata uwe kwenye mahandaki madhubuti kiasi gani,kifo kinakufata tu.


Rais wetu kakimbia ikulu kuu, ni kwa sababu ya gonjwa la COVID-19, lakini nchi za wenzetu marais wapo ikulu kuu, na wapo ngangari.

Kifo huwezi kukikimbia hata siku moja, rudi ikulu uiendeshe nchi.
 
Yeye yuko wapi? Ukijilinda na kufuata kanuni za Afya kukwepa huu ugonjwa hupati kabisa huu ugonjwa tunakwepa Corona
Na sio tunakwepa kifo be serious
Jikinge na wakinge wengine

Ila muda wa kifo ukifika umefika lazima kufa tu ugonjwa wote unaweza kujikinga ndio maana watu wanalala na net.wanafukizia wanaji isolate , social distance. Wanakula chakula kizuri kujilinda wanaosha mikono

Cprona na vita kati ya binadamu na virus
Lazima upambane na hivyo hii ni sawa sawa na maisha mtu anapambana ili apate chakula usipombana hupati chakula kwa hiyo utakufa tu

Kwa kupambana kupata chakula tayari unakijinga na njaa uli usife

Prevention is better than cure

Precautionary measure help to slow the spread of corona virus
Most of goverment have imposed public gathering restriction on all no esaential organosed gathering of more than 500 people

Stay home
Stay Safe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nawaza hivi mzee angekuwa ikulu ya Das'lam right now, hizi kelele na lawama zingeisha??
 
Unajua kuwa Tanzania kila mkoa una Ikulu ndogo?

Chadema njooni za hoja za kujenga Nchi Sio kuokoteza viroja
 
Mkwere alivyokuwa na safari za nje mlisema! Kaja huyu asietoka mnasema!!
 
Hatujui wanachofanya ma-Rais wengine sababu mambo yao tumewaachia wenyewe...




Cc: mahondaw
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…