dimaa
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 4,174
- 5,658
Siku yoyote ile huwezi ukakimbia kifo. Popote ulipo kinakufata, hata uwe kwenye mahandaki madhubuti kiasi gani,kifo kinakufata tu.
Rais wetu kakimbia ikulu kuu, ni kwa sababu ya gonjwa la COVID-19, lakini nchi za wenzetu marais wapo ikulu kuu, na wapo ngangari.
Kifo huwezi kukikimbia hata siku moja, rudi ikulu uiendeshe nchi.
Rais wetu kakimbia ikulu kuu, ni kwa sababu ya gonjwa la COVID-19, lakini nchi za wenzetu marais wapo ikulu kuu, na wapo ngangari.
Kifo huwezi kukikimbia hata siku moja, rudi ikulu uiendeshe nchi.