DissDotCom
JF-Expert Member
- Mar 31, 2014
- 395
- 268
- Thread starter
-
- #61
Kuna aliyekuwa anamsomesha mwanae English Medium. Shangazi yake alikuja kuugulia kwake pamoja na wasaidizi. Walimuuliza ada ya mtoto aliwajibu ni milioni 10 kwa mwaka.
Shangazi kusikia ile ada alitaka na nyumba yake ibadilishwe bati.
Alipata jibu la haraka kuwa kuna mzungu anamsomesha walikutana kanisani
Niliwahi kuulizwa...na baada ya kujibu nakijua mwenyewe kilichofuatwa
Ahahaa haaaa tusamehane mkuu niliandika nikiwa na usingizi mwingiDah yani bwana kitego ndo ume amua kuja kunitangaza adi uku..mi nli ulizia bei ili nijue tu dah siji ten@ kwako[emoji19]
Yaani hii ni zaidi ya uchunguzi...mtu anahitaji kujua gharama ya maisha yako kiujumlaMoja kati ya tabia huwa siipendi ni kuulizwa mshahara wangu, bei ya gari langu, pesa niliyotumia kujenga nyumba yangu. Huwa nazichukulia kama tabia za hovyo sana.
Halafu kuna ile tabia nyingine ya kuingia ndani na kuanza kukagua kagua vitu. Mara unataka uanze kupekua jokofu, mara unataka kukagua vyumba. Kuna wengine wakiona umepanga mavazi anaanza kujaribu na kung'ang'ania.
Tabia kama hizi ukizileta kwangu nakufukuza mchana kweupe. Usivuruge utaratibu niliowawekea watoto wangu.
Kuna nyumba nilisimamia ujenzi. Aisee watu wana mswali acha. Akipita anakuuliza hili ndo litakuwa jiko au choo? Ngazi fundi la kuharibia kaweka step kubwa sana....
Nawaambia bei imebadilikaWakimupa pesa ukawanunulie pale uliponunua wewe je utawajibu nini?
Sifanyi kazi hizoNa akikupa hela ukamnunulie je?
Mkuu heshima yako "... Aisee ni poah chief wangu sijui weweWewe jamaa niajeee
Hatuonani kabisa mkuuMkuu heshima yako "... Aisee ni poah chief wangu sijui wewe
Farkhina mambo?Kazi kweli kweli [emoji1787][emoji1787][emoji1787] wanatokea shamba au?
Farkhina mambo?
mkuu " nadhani pilika za kutafuta mkate " ndio sababu .. hata hivyo wewe mwenyew umekuwa una guest mnoo siku hizi wala hutaki ku-comments au kutuanzishia uziHatuonani kabisa mkuu