Hivi na wengine huwatokea?

Hivi na wengine huwatokea?

NGOSWE2

JF-Expert Member
Joined
Dec 19, 2013
Posts
1,323
Reaction score
1,608
Niende moja kwa moja kwenye mada.

Kuna wakati ninapotaka kujibu au kuchangia hoja mbalimbali zinazoibuliwa na wadau humu JF,
.kuna kitu huwa kinanikwaza.

Unakuta kila nikijibu, mara neno nililoandika linafutwa au hata sentensi nzima inafutwa hata kabla ya kumaliza kuandika.

Hii najiuliza ni kifaa changu kina shida au kuna kamchezo kanafanyika?

.Hali hii ni kwangu tu, au na wengine huwatokea?
 
Niende moja kwa moja kwenye mada.

Kuna wakati ninapotaka kujibu au kuchangia hoja mbalimbali zinazoibuliwa na wadau humu JF,
.kuna kitu huwa kinanikwaza.

Unakuta kila nikijibu, mara neno nililoandika linafutwa au hata sentensi nzima inafutwa hata kabla ya kumaliza kuandika.

Hii najiuliza ni kifaa changu kina shida au kuna kamchezo kanafanyika?

.Hali hii ni kwangu tu, au na wengine huwatokea?
Una tumia itel toleo gani ?
 
Niende moja kwa moja kwenye mada.

Kuna wakati ninapotaka kujibu au kuchangia hoja mbalimbali zinazoibuliwa na wadau humu JF,
.kuna kitu huwa kinanikwaza.

Unakuta kila nikijibu, mara neno nililoandika linafutwa au hata sentensi nzima inafutwa hata kabla ya kumaliza kuandika.

Hii najiuliza ni kifaa changu kina shida au kuna kamchezo kanafanyika?

.Hali hii ni kwangu tu, au na wengine huwatokea?
Tuiite screening effect mkuu!

Kama una historia ya kuandika comments ambazo ni tata bas utakua target Kwa Kila comment unazoandika!
 
Niende moja kwa moja kwenye mada.

Kuna wakati ninapotaka kujibu au kuchangia hoja mbalimbali zinazoibuliwa na wadau humu JF,
.kuna kitu huwa kinanikwaza.

Unakuta kila nikijibu, mara neno nililoandika linafutwa au hata sentensi nzima inafutwa hata kabla ya kumaliza kuandika.

Hii najiuliza ni kifaa changu kina shida au kuna kamchezo kanafanyika?

.Hali hii ni kwangu tu, au na wengine huwatokea?
Umejiunga lini JamiiForums?
 
Mm Huwa naona notification kuwa "your post (in ... thread) has been moved in another thread"

Cha ajabu hiyo thread inakopelekwa hiyo post yangu Huwa haitajwi...!!
Hawa mod ni madafaka tu..
 
Mm Huwa naona notification kuwa "your post (in ... thread) has been moved in another thread"

Cha ajabu hiyo thread inakopelekwa hiyo post yangu Huwa haitajwi...!!
Hawa mod ni madafaka tu..
Uwe unakuja PM nakuonyesha post yako ilipopelekwa,ninao huo ujuzi.
 
Back
Top Bottom