NGOSWE2
JF-Expert Member
- Dec 19, 2013
- 1,323
- 1,608
Niende moja kwa moja kwenye mada.
Kuna wakati ninapotaka kujibu au kuchangia hoja mbalimbali zinazoibuliwa na wadau humu JF,
.kuna kitu huwa kinanikwaza.
Unakuta kila nikijibu, mara neno nililoandika linafutwa au hata sentensi nzima inafutwa hata kabla ya kumaliza kuandika.
Hii najiuliza ni kifaa changu kina shida au kuna kamchezo kanafanyika?
.Hali hii ni kwangu tu, au na wengine huwatokea?
Kuna wakati ninapotaka kujibu au kuchangia hoja mbalimbali zinazoibuliwa na wadau humu JF,
.kuna kitu huwa kinanikwaza.
Unakuta kila nikijibu, mara neno nililoandika linafutwa au hata sentensi nzima inafutwa hata kabla ya kumaliza kuandika.
Hii najiuliza ni kifaa changu kina shida au kuna kamchezo kanafanyika?
.Hali hii ni kwangu tu, au na wengine huwatokea?