Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi bwana kwenye redio,yule mtu anaeongea kwenye redio kaingiaje mlendani?[emoji23]
Unajua niliteseka sana kujua uyo mtu kaingiaje ndani ya redio,alafu uwaanatoka muda gani mpaka nashindwa kumuona akitoka!![emoji23]
Ww jamaa utakuwa una matatizo ya akili
Hahahaha ngoja nikanywe na majiAsikwambie mtu mi nlikuwa najuaga wale wanauawa kwenye movie ni watu kweli nlikuwa nasemaga sintakubali wauawe Tena nikimwona adui nawash2a
Sasa Kuna cku naangalia movie mvua c ikaanza kunyesha nkaenda waambia wajifiche mvua itawakuta wakakimbia kweli asee cku nzima nlikuwa nacheka nimewaokoa watu na mvua
Unaonekana umekulia bushi sanaMimi bwana kwenye redio,yule mtu anaeongea kwenye redio kaingiaje mlendani?[emoji23]
Unajua niliteseka sana kujua uyo mtu kaingiaje ndani ya redio,alafu uwaanatoka muda gani mpaka nashindwa kumuona akitoka!![emoji23]
. Maji yepi mkuuHahahaha ngoja nikanywe na maji
. Corrona auNiji sanitize
. Mtu anajificha katikati yenu na nyie mpo msakeniTahadhari.
Si unajua jiwe haonekani
sakeni mtu nyie msikubaliAnataka kucheza na akili zetu.
😀😂😂😂.watu mnavituko aisee!Mi nlipokua nakua, nlikua najua wanawake wazuri nliojifundishia kupiga nyeto kama Rihanna na Beyonce walikua hawaendi kujisaidia haja kubwa.
Haja kubwa nlijua ni kwaajili ya wanawake wabaya tu.