Clark boots
JF-Expert Member
- Jun 5, 2017
- 6,770
- 6,202
People ilikuwa kubwA nin mkuu..?Hiyo sehemu haipo lakini wewe omba kazi kama una vigezo vyote kulingana na Tangazo husika watakuita kwenye usaili na ukifaulu usahili watakupangia kituo chako cha kazi.Mimi nimeomba mwezi uliopita bila kuweka hizo namba za NIDA na nimeitwa kwenye usaili japo sijaweza kwenda kushiriki interview.