Victor wa happy
JF-Expert Member
- Apr 24, 2013
- 11,660
- 11,654
Jamaa allikuwa ndio diamond wa kipindi kile ilikuwaje akafeli kumnyonyoa huyu kigori alikuwa anaazima hadi magari kwenda kumlia mingo huyu mlimbwende wa taifa au dada kwa kuwa ni mchaga aliona hamna pesa pale
Hadi wimbo akamuimbia.wanaume tumeumbiwa mateso kwa kweli
Hadi wimbo akamuimbia.wanaume tumeumbiwa mateso kwa kweli