Victor wa happy
JF-Expert Member
- Apr 24, 2013
- 11,660
- 11,654
[emoji28][emoji28] ni tatizo sana ukikosaChapaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahah kwakweli tunashida
Happy hajambo?
we uyo happy co demu wangu kweli?
Wamaasai...Sumari ni wachaga?Big No
Wameru hao.
No. Hao ni wameru 100% boss.Wamaasai...
Unamfahamu? Au unamjua?
Unamfahamu? Au unamjua?
Kipindi hicho kuna akina Mpakanjia wanatamba Mb Mbwa nini bwana
Sumari ni wachaga?Big No
Wameru hao.
wanaume tumeumbiwa mateso kwa kweli
Alikuwa chakula?Haha mpakanjia chakula ya wakubwa umenikumbusha way back