Hivi nancy sumari alimnyima kabisa mb dog

Victor wa happy

JF-Expert Member
Joined
Apr 24, 2013
Posts
11,660
Reaction score
11,654
Jamaa allikuwa ndio diamond wa kipindi kile ilikuwaje akafeli kumnyonyoa huyu kigori alikuwa anaazima hadi magari kwenda kumlia mingo huyu mlimbwende wa taifa au dada kwa kuwa ni mchaga aliona hamna pesa pale
Hadi wimbo akamuimbia.wanaume tumeumbiwa mateso kwa kweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…