Na huwa tunauliza vile we care about you tupike mpendacho ukiona huulizwi kakuchukulia poa Bora liendeWife zamani akiniiuliza nilikuwa namjibu pika chochote,, nilivoona anaendelea siku moja nikamwambia pika mchemsho, akatabasam akasepa,, alivorudia siku nyingine nikamwambia pika nyama choma na ugali.
Siku hizi haniulizi tena.
Ndo changamoto hiyo yaani?,mi ndizi nakula daily tuUgonjwa wangu ndizi hata Nikila daily sichoki naye hapendi ndizi akiulizwa hataki Sasa namkomesha mpaka akome
Usizitaje ndizi basi unazionea!ila hapo kwenye dagaa na jamii yake ndo umeongea mimi hupenda kuwambia watu kwamba dagaa sio mbogaMie nakula chochote uzuri sie tumefunzwa kula chochote kinachopikwa in the day toka utotoni!
Katika vitu ambavyo niligundua sipendi ni dagaa kauzu, kabichi, mchicha, magimbi na ndizi! Yani ukipika chakula nje ya hivyo ntakula tu sina tatizo.
Kinachokera ugali wa usiku ni ile njaa unaamka nayo asubuhi aisee [emoji3]Na mimi nimesema hivyo. Baba yangu hakuwa mpenzi wa nyama, labda za aina chache sana na sio mchuzi, na usithubutu kumpikia ugali usiku unless amekwambia. Na wanaume wengi wenye asili ya Mbeya; kumpikia ugali usiku ni ugomvi
[emoji3][emoji3]Kuna siku ameniuliza hivyo, nilikua na mahasira yangu tu siku hiyo,nikamjibu pika pumb.u.
Matunda hilo halina shida sababu misimu inabadilika badilika unaweza beba kafuko ka matunda daily ila sio eti ubebe mavitu ya kupika kila siku huo sio uungwana ikiwa mama umempa hela ya shopping ya vitu mwezi mzima.kuna upuuzi mwingine wa kutakiwa kurudi na vyakula ukitoka job. wakati umewaachia hela ya mwezi mzima. nilipohoji nikaambiwa mbona baba jirani huwa analeta. Majibu ilikuwa simple tu,kaolewe naye
Hahaha kimoyomoyo unasema sasa mbn cmpat kama huyu dada anguJamaa anaonekana wa ajabu sana. Yani anachukia ugali hao ndio wale daddy im going!
Ukiwa huna hobby ya kupika ni kazi ngumu kweli! Ila if you are creative there are a million dishes yani! Na vitu ni vile vile tu ila unatwist kidogo tu unapata new dish. Unaongeza kidogo inakuwa kitu amazing.
Nunua vijarida vya mapishi vitakusaidia kuto run out of ideas! Mie sijui tatizo nina dada anapenda mapishi yani nikifikaga kwa shemeji yangu namuonea wivu anavyopikiwa vitu vizuri vizuri yani kama yuko 5 star hotel[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]tafuta helaKweli maisha yanatofautiana sana,maana nina miaka 17 ya uchumba sugu ila sijawahi kuulizwa swali hilo,ngoja nitafute hela maana ndio sababu ya kutoulizwa na % kubwa nahisi hatuulizwi kabisa,maana najua siku nikikuta ugali nyama ni kama suprise,tumezoea mwendo wa harage ugali na tembele tu
Mwambie mpange ratiba ya juma inasaidia kubajeti na kuounguza hayo maseali."Bebi Leo tunakula nini?"
Hivi chakula nimenunua, Maharage, mchele, unga, viazi, nyama, samaki vyote viko kwenye kitchen Den na kwenye friji kuna kila kitu.
Sasa kwanini uniulize tunakula nini? Wewe huwezi kujiongeza kweli kufanya assortment ya chakula cha kupika.