Hivi nani ni kichaa zaidi?

Mkuu wa Kibiti

JF-Expert Member
Joined
Sep 7, 2017
Posts
776
Reaction score
1,136
Unaenda kumkamata kichaa na magari kadhaa,siraha za kutosha na askari kombania nzima kwenda kumkamata kichaa.Nani anakuwa kichaa zaidi?
 
Kichaa atabaki yule aliyepimwa.
Hawa wengine vipimo zaidi vinahitajika
 
Unaenda kumkamata kichaa na magari kadhaa,siraha za kutosha na askari kombania nzima kwenda kumkamata kichaa.Nani anakuwa kichaa zaidi?
Jifunze kuandika kwanza ndio uje jf
Au uwe unasoma tu waliyoandika wenzako umenikera sana
 
Jifunze kuandika kwanza ndio uje jf
Au uwe unasoma tu waliyoandika wenzako umenikera sana
Likikukera kula ndimu.Halafu,si lazima usome post zangu.Ukiona ngumu kumeza potezea tu
 
Kichaa zaidi utakua wewe uliyepanga kikosi kwenda kumkamata kichaa[emoji41]
 
Vipi unamuongelea yule rpc wa mkoa fulani wa zimbabwe aliyeenda kumkamata kichaa!??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…