Mkuu wa Kibiti
JF-Expert Member
- Sep 7, 2017
- 776
- 1,136
Unaenda kumkamata kichaa na magari kadhaa,siraha za kutosha na askari kombania nzima kwenda kumkamata kichaa.Nani anakuwa kichaa zaidi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jifunze kuandika kwanza ndio uje jfUnaenda kumkamata kichaa na magari kadhaa,siraha za kutosha na askari kombania nzima kwenda kumkamata kichaa.Nani anakuwa kichaa zaidi?
Likikukera kula ndimu.Halafu,si lazima usome post zangu.Ukiona ngumu kumeza potezea tuJifunze kuandika kwanza ndio uje jf
Au uwe unasoma tu waliyoandika wenzako umenikera sana
Likikukera kula ndimu.Halafu,si lazima usome post zangu.Ukiona ngumu kumeza potezea tu
Tatizo lako ni kuwa babako aliuza ng'ombe ili kupeleka ng'ombe mwingine shuleMh.wa mkoa gani bandugu