Hivi nanyi mmebahatika anayeyajua mapenzi kama huyu wangu?

Nampa vizur TU,
Sema ndo vile wife kuniacha njian kawaida Sana, sio mtu wa marathon.

mwanzon mwa ndoa tuligombana Sana.

Ilo nilivompata mamaJ Wala hatugombani tena.
Hahahahah hio kawaida yani, wife material wengi sio watu wa michakato kwa sana. Wako focused na maisha zaidi.
 
Hahahahah after 30 mins...Stiliwaya mode activated!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…