Hivi nanyi mmebahatika anayeyajua mapenzi kama huyu wangu?

Hivi nanyi mmebahatika anayeyajua mapenzi kama huyu wangu?

Pole sana.
Hapa ndio tulipofikia wanaume wengi wa Bongo. Wengi Wetu vichwa vyetu, kwa asilimia kubwa vimejaa mawazo ya ngono. Inasikitisha sana. Hatuwezi kupata maendeleo ya haraka ya kiuchumi kwa hali hii. Tubadilike jamani.
ni kweli mkuu inasikitisha
 
Anajua mapenzi anafanyaje jamani? Hebu mwambiea ajiunge huku atufunde wenzie.

Mimi kiukweli kama ufundi ndio kupendwa hakuna mwenye angethubutu kunipenda 😅 Ila ndio napendwaga balaaa!
Una K tamu😂 na swaga za kijanja kwa mpenzi
 
Back
Top Bottom