Hivi nanyi mmebahatika anayeyajua mapenzi kama huyu wangu?

Watu hamna kazi za kufanya..mnawaza ngono tu.

#MaendeleoHayanaChama
 
Mama J kaujaza moyo wako Haswa na umefurika Yeye tu, hongera kwake ila pole kwa mkeo pia.
Unaidhurumu nafsi yako bure oa huyo aliyemoyoni mwako, maana wife wako kulingana na maandiko yako kitandani performance yake iko chini sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…