Hivi naweza kununua kisimbuzi cha Azam tv Kenya na kuja kukitumia Tanzania?

Hivi naweza kununua kisimbuzi cha Azam tv Kenya na kuja kukitumia Tanzania?

Mchochezi

JF-Expert Member
Joined
Feb 29, 2012
Posts
10,962
Reaction score
7,830
Wakuu za jumapili

Nimepata wazo la kununua dikoda ya Azam Tv iliyosajiliwa Kenya na kurudi nayo Tanzania nije kuitumia. Je nitaitumia kama kawaida au mpaka nije kuibadilisha?

Lengo ni kupata hizi local channel ambazo huko nyumbani zimefungwa. Pia malipo yao ni kiduchu sana kwa huku ukilinganisha na huko nyumbani. Mfano kifurushi cha Azam pure ambacho huko ni Tshs 18000 kwa huku ni Ksh 200 ambayo ni sawa na Tshs 5,000.

Wasiwasi wangu, je kitafanya kazi kwa huko Tanzania hali ya kuwa kimesajiliwa Kenya?
 
Kinafanya kazi vizuri tu ila utabidi malipo ya kifurushi ufanyie huko Kenya.
Kuna mtu ana kifurushi cha azam cha Uganda na kinafanya kazi vizuri ila swala la malipo ndo kama nilivyokwambia.
Jioni njema.
 
Kinafanya kazi vizuri tu ila utabidi malipo ya kifurushi ufanyie huko Kenya.
Kuna mtu ana kifurushi cha azam cha Uganda na kinafanya kazi vizuri ila swala la malipo ndo kama nilivyokwambia.
Jioni njema.
Ngoja niwasiliane na shemela zangu wa kiluo wanitafutie azam kisimbuzi nile ureda kwa 5000tzs hichi cha huku nikifyekelee mbali
 
Ngoja niwasiliane na shemela zangu wa kiluo wanitafutie azam kisimbuzi nile ureda kwa 5000tzs hichi cha huku nikifyekelee mbali
kumbuka mara zote itakubidi uwatumie hela ya kununua kifurushi pale kitakapoisha.
Kila la kheri.
 
kumbuka mara zote itakubidi uwatumie hela ya kununua kifurushi pale kitakapoisha.
Kila la kheri.
Online payment
20190605_163541.jpg
 
Back
Top Bottom