Hivi naweza kununua kisimbuzi cha Azam tv Kenya na kuja kukitumia Tanzania?

Hivi naweza kununua kisimbuzi cha Azam tv Kenya na kuja kukitumia Tanzania?

Hivi watanzania ndio watu wakuvunwa? Kama kenya wanalipia Azam Pure 8,000 ya huku? Wakati sisi wana nzengo tunakamuliwa 18,000 ni haki kweli?
 
Wakuu za jumapili

Nimepata wazo la kununua dikoda ya Azam Tv iliyosajiliwa Kenya na kurudi nayo Tanzania nije kuitumia. Je nitaitumia kama kawaida au mpaka nije kuibadilisha?

Lengo ni kupata hizi local channel ambazo huko nyumbani zimefungwa. Pia malipo yao ni kiduchu sana kwa huku ukilinganisha na huko nyumbani. Mfano kifurushi cha Azam pure ambacho huko ni Tshs 18000 kwa huku ni Ksh 200 ambayo ni sawa na Tshs 5,000.

Wasiwasi wangu, je kitafanya kazi kwa huko Tanzania hali ya kuwa kimesajiliwa Kenya?
Mimi ni installer wa ving'amuzi vya satellite. Hata ukichukua kisimbuzi toka China, kinafanya kazi hapa Tanzania. Muhimu ujue frequency tu za kisimbuzi husika.

Hivyo inawezekena bila wasi.
 
kinapiga kazi mimi natumia dikoda ya Malawi inapiga kazi poa sana
Mkuu naomba unipe connection ya kupata cha Malawi, maana bei zao ndio poa kushinda hata cha kenya kwasasa
 
Back
Top Bottom