Nambieni wadau,poleni na michakato ya katiba mpya na mvua hili duh ni noma(Niwaombe tu msikitumie hiki kipindi cha baridi na kushinda ndani vibaya itakula kwenu). Pamoja na maisha kuwa magumu bado jf inatupa raha kwa kutuunganisha watu kibao. Leo nina ka ishu kadogo jaman msinihukumu ila nipeni maoni yenu kwa hoja zifuatazo kama kweli naweza kuwa na ngoma?
1. Mara ya mwisho nimejihisi homa ni tar 2/3/2013 niliumwa kichwa nikanunua Phansidar mpaka leo na kumeza mpaka leo
2. Tangu nizaliwe sijawahi kulazwa wala kutundikiwa drip au kuongezewa damu wala mimi kutoa japo jamaa walikujaga shule wakafanya kampeni ya changia dam nikagoma.
3. Sijijali sana kwenye diet yani yaweza pita siku nzima kwa msosi mmoja au mara mbili tu kwa siku.
4. Nikinyoa ndevu au nywele zinaota fasta tu na zina afya pia nikijikata kidonda kinapona.
5. Ah nimekumbuka nilicheza game bila sox miaka miwili iliyopita lakini nimefatilia afya ya huyo dem mpaka leo mzma wa afya wala haumwi.
Nina umri wa miaka 27 na game zangu nyingi kwa sasa najitahidi kucheza safe.
Hebu nambieni wadau kwa mazingira hayo kweli bado naweza kuwa na ngoma?kweli mtu anaweza kunishawishi nikapime manake najiona kama sina sababu zaidi ya kuendelea ku play safe tu hebu nambieni wakuu wangu.
Nawasilisha
1. Mara ya mwisho nimejihisi homa ni tar 2/3/2013 niliumwa kichwa nikanunua Phansidar mpaka leo na kumeza mpaka leo
2. Tangu nizaliwe sijawahi kulazwa wala kutundikiwa drip au kuongezewa damu wala mimi kutoa japo jamaa walikujaga shule wakafanya kampeni ya changia dam nikagoma.
3. Sijijali sana kwenye diet yani yaweza pita siku nzima kwa msosi mmoja au mara mbili tu kwa siku.
4. Nikinyoa ndevu au nywele zinaota fasta tu na zina afya pia nikijikata kidonda kinapona.
5. Ah nimekumbuka nilicheza game bila sox miaka miwili iliyopita lakini nimefatilia afya ya huyo dem mpaka leo mzma wa afya wala haumwi.
Nina umri wa miaka 27 na game zangu nyingi kwa sasa najitahidi kucheza safe.
Hebu nambieni wadau kwa mazingira hayo kweli bado naweza kuwa na ngoma?kweli mtu anaweza kunishawishi nikapime manake najiona kama sina sababu zaidi ya kuendelea ku play safe tu hebu nambieni wakuu wangu.
Nawasilisha