comrade_kipepe
JF-Expert Member
- Jun 25, 2019
- 3,411
- 4,435
Kikubwa ushaelewa unatafuta mtu wa kubishana naeRadio ama station
Inasikitisha sanaTofauti na TBC,hao wengine lazima waendane na kile jamii ya watu wajinga wa Tanzania wanataka
Dar haishikRedio Kwizera ya Ngara.
Radio UpendoMaana nimeshachoka kusikiliza miziki ya hovyo na mpira
Mwenye hii comment kanigusa sana
๐Sawa mkuuKikubwa ushaelewa unatafuta mtu wa kubishana nae
Wakati mwingne nachoka kumsikiliza dada potina na mwasakifwa ๐Radio Upendo
Hao wanajitahidiRadio iliyobaki na yenye vipindi vizuri kuanzia asubuhi hadi jioni ni U - FM 107.3
Radio nyingine zilizobaki ni TAKATAKA
Wasikilizaji tunaopenda hizohabari tupo wachacheinabidi redio za mambo ya siasa, uchumi, maendeleo ziongezeke
demand kubwa kuliko supply
ila sasa utaweka tangazo la sportpesa kwenye habari kuhusu uchaguzi?
nadhani habari za maendeleo hazina hela