Hivi nchi hii redio gani inafaa kusikiliza?

Hivi nchi hii redio gani inafaa kusikiliza?

Tofauti na TBC hakuna,hao wengine lazima waendane na kile jamii ya watu wajinga wa Tanzania wanataka Ili wafanye biashara.
TBC IKO POA ILA IMEANZA KUHARIBIWA NA WATANGAZAJI WA HOVYO
*ARUNGU-KIPINDI CHAKE KINABOA
*MWINUKA KIPINDI CHAKE KINAVUNJA NDOA
*KUNA JAMAA LINAJIITA MZEE WA MIKITO HALIJITAMBUI LENYEWE MUDA WOWOTE NI MABONGO FLEVA TU ...KWA KIFUPI WATANGAZAJI WA TBC FM WAMEKUJA KUHARIBU WANA USHAMBA NA UTOTO.
 
inabidi redio za mambo ya siasa, uchumi, maendeleo ziongezeke

demand kubwa kuliko supply

ila sasa utaweka tangazo la sportpesa kwenye habari kuhusu uchaguzi?
nadhani habari za maendeleo hazina hela
Zinaweza kuwa na hela ikiwa presenters watakuwa na skills za motivational speakers
 
Sikiliza ebony fm iringa kwa dar inapatikana kwa masafa ya 106.9Mhz
 
Maana nimeshachoka kusikiliza miziki ya hovyo na mpira

Mwenye hii comment kanigusa sana

Redio zinashindana kua na michezo ya kamari kila redio ina ina michezo ya kubahatisha

View attachment 3063295
MKUUU BASHIRI COMP ZINAONGIOIZA TRILION PALE KENYE N UGANDA SO SISHANGAI HATA KIBOKO DIBWE ILE N KAMPUN SEMA AKUJIREG KWENDA KUTOA LAK 5 HUJUI UPONYAJI WAJA LINI NA UKIFIKA UKARUDI ANAKWAMBIA ONGEZA TENA HIZO BASHIR ZIKO NA MAKANISANA SEMA HAZINA KODI

DAWA NA WEWE UNA IMAN JARIBU

M KWENYE TV NDIO SIAMINJ KABISA MAHUZI ALIPIGIWA MTU AKAULIZWA UNAIJUA SHINDANO LA XXX XAKAJIBU LAWAPI UJAWAHI CHEZA
HAPANA SIMU IKAKATWA GAFLA
NAJIULIZA ALIEFIKISHA ILE NO KULE N NANI
INAENDELEA
 
TBC IKO POA ILA IMEANZA KUHARIBIWA NA WATANGAZAJI WA HOVYO
*ARUNGU-KIPINDI CHAKE KINABOA
*MWINUKA KIPINDI CHAKE KINAVUNJA NDOA
*KUNA JAMAA LINAJIITA MZEE WA MIKITO HALIJITAMBUI LENYEWE MUDA WOWOTE NI MABONGO FLEVA TU ...KWA KIFUPI WATANGAZAJI WA TBC FM WAMEKUJA KUHARIBU WANA USHAMBA NA UTOTO.
Tatizo watangazaji wengi wakongwe wamestaafu kabaki Masoud Manju wa muziki pekee
 
huku kwemyewe tulishapigwa sana enzihizo na waganga wa kienyeji wanajita tiba asili

Wakaja ma dk ukisoma somolake unaona kakugusa kitandan nikajiponye

Wapo waliotuma sana nauli hizi 10.20 kwa wanaume wenzao wakijitumia majina ya kike

nao waliona fursa khna wanaume malaya humu ngoja tuwapihge wanakuwahi kweli



N maombi tu ndugu

M na vyumba vya kupanga 6 kmr Airport na mbezi beach

Ikikaribiq siku ya kutoa kodi wapangaji kama sio siku moja kabla wanapigiwa

Ndugu ile kodi yetu n kesho tuma kwa no hiii unashangaa wanapiga 10 kujua vipi umebadili no kaka

Jibu n hapana nao wana nyota zao wanabet kwakuoneshwa

Ama mashirika ya simu wanaona transaction zetu wanawapa

Binafsi soln

Tujiongezeee tuungane na sie tutafute mchongo wetu hata kama utalipa kodi lakn unhakika wateja hukosi

Mpaka waje kuhamaki ushahama ulipo na simu unatumia ya uganda

Madadaa waliotaka mimbaaa enzihizo pigwa sanaaaaaaa
 
Back
Top Bottom