ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Ili uendelee kujazwa ujinga wa dini,kutiwa hofu za siku ya mwisho na vitisho vya motoni au?Radio Upendo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ili uendelee kujazwa ujinga wa dini,kutiwa hofu za siku ya mwisho na vitisho vya motoni au?Radio Upendo
TBC IKO POA ILA IMEANZA KUHARIBIWA NA WATANGAZAJI WA HOVYOTofauti na TBC hakuna,hao wengine lazima waendane na kile jamii ya watu wajinga wa Tanzania wanataka Ili wafanye biashara.
Zinaweza kuwa na hela ikiwa presenters watakuwa na skills za motivational speakersinabidi redio za mambo ya siasa, uchumi, maendeleo ziongezeke
demand kubwa kuliko supply
ila sasa utaweka tangazo la sportpesa kwenye habari kuhusu uchaguzi?
nadhani habari za maendeleo hazina hela
hahahahahahahahahahahahahaha.......duh..!Radio Tumaini radio ya ujiranii
Station ya TazaraRadio ama station
Dar inashika.?Anguka na Safina.🙂🙂
Ujirani mwemaRadio Tumaini radio ya ujiranii
Ishi! Hata humu wamo viroboto.Tofauti na TBC hakuna,hao wengine lazima waendane na kile jamii ya watu wajinga wa Tanzania wanataka Ili wafanye biashara.
kama una smart phone online unasikiliza.Dar haishik
MKUUU BASHIRI COMP ZINAONGIOIZA TRILION PALE KENYE N UGANDA SO SISHANGAI HATA KIBOKO DIBWE ILE N KAMPUN SEMA AKUJIREG KWENDA KUTOA LAK 5 HUJUI UPONYAJI WAJA LINI NA UKIFIKA UKARUDI ANAKWAMBIA ONGEZA TENA HIZO BASHIR ZIKO NA MAKANISANA SEMA HAZINA KODIMaana nimeshachoka kusikiliza miziki ya hovyo na mpira
Mwenye hii comment kanigusa sana
Redio zinashindana kua na michezo ya kamari kila redio ina ina michezo ya kubahatisha
View attachment 3063295
Tatizo watangazaji wengi wakongwe wamestaafu kabaki Masoud Manju wa muziki pekeeTBC IKO POA ILA IMEANZA KUHARIBIWA NA WATANGAZAJI WA HOVYO
*ARUNGU-KIPINDI CHAKE KINABOA
*MWINUKA KIPINDI CHAKE KINAVUNJA NDOA
*KUNA JAMAA LINAJIITA MZEE WA MIKITO HALIJITAMBUI LENYEWE MUDA WOWOTE NI MABONGO FLEVA TU ...KWA KIFUPI WATANGAZAJI WA TBC FM WAMEKUJA KUHARIBU WANA USHAMBA NA UTOTO.
Massoud mwenyewe alishastaafu siku nyingi Ila anafosi tuTatizo watangazaji wengi wakongwe wamestaafu kabaki Masoud Manju wa muziki pekee