Hivi nchi ya Tanzania itamaliza lini Ukarabati?

Hivi nchi ya Tanzania itamaliza lini Ukarabati?

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Hivi hata nchi nyingine zinafanya hivi hivi kama Tanzania inavyofanya?

Stendi za Mwendokasi zilizojengwa Juzi tu eti leo zinakarabatiwa! Halafu wanaotangaza kuzikarabati ndio wale wale waliozijenga.

Yaani Tangu Uhuru hadi Kiama ni Ukarabati tu! haya mambo yataisha lini au ni njia yao ya kupiga hela?

Screenshot_2023-10-11-11-00-12-1.png
 
Hivi hata nchi nyingine zinafanya hivi hivi kama Tanzania inavyofanya?

Stendi za Mwendokasi zilizojengwa Juzi tu eti leo zinakarabatiwa! Halafu wanaotangaza kuzikarabati ndio wale wale waliozijenga.

Yaani Tangu Uhuru hadi Kiama ni Ukarabati tu! haya mambo yataisha lini au ni njiavyao ya kupiga hela?

View attachment 2778548
Ila wewe nae ni mpuuzi, kadiri kitu kinavyotumika kinachoka Sasa bila ukarabati unadhani itakuaje?

Angalia shule za msingi,sekondari na vyuo za Umma zilovyochoka Kwa sababu hazipati pesa ya ukarabati
 
Ila wewe nae ni mpuuzi, kadiri kitu kinavyotumika kinachoka Sasa bila ukarabati unadhani itakuaje?

Angalia shule za msingi,sekondari na vyuo za Umma zilovyochoka Kwa sababu hazipati pesa ya ukarabati
Nchi zingine wanafanya kama hivyo ? yaani mnajenga vitu duni mnapiga hela , ili mkarabati keshokutwa ?
 
Hivi hata nchi nyingine zinafanya hivi hivi kama Tanzania inavyofanya?

Stendi za Mwendokasi zilizojengwa Juzi tu eti leo zinakarabatiwa! Halafu wanaotangaza kuzikarabati ndio wale wale waliozijenga.

Yaani Tangu Uhuru hadi Kiama ni Ukarabati tu! haya mambo yataisha lini au ni njiavyao ya kupiga hela?

View attachment 2778548
Ukarabati ndio sehemu yetu ya kujipatia ugali wa ziada
 
Hivi hata nchi nyingine zinafanya hivi hivi kama Tanzania inavyofanya?

Stendi za Mwendokasi zilizojengwa Juzi tu eti leo zinakarabatiwa! Halafu wanaotangaza kuzikarabati ndio wale wale waliozijenga.

Yaani Tangu Uhuru hadi Kiama ni Ukarabati tu! haya mambo yataisha lini au ni njiavyao ya kupiga hela?

View attachment 2778548
ukarabati ni jambo lisilokwepeka iwe kwa gari yako, nyumba yako n.k
na ni Lazima ufanye ukarabati, la sivyo utakaribisha nyufa, mipasuko na uharibifu utakaoweza kuleta madhara na gharama kubwa zaidi za kuanza mwanzo.

kwahiyo,
serikali kupitia taasisi zake mbalimbali hufanya karabati za mara kwa mara ili kuimarisha majengo, mioundombinu na huduma kwa wananchi na kuepuka athari zinazoweza kutokana na uchakavu wa mioundombinu ambayo haikukarabatiwa kwa muda mrefu.

Hata ivo serikali imeendelea kukarabati majengo na barabara ili kupunguza gharama za kuanza ujenzi upya.
Asanteni sana kunisikiliza.
 
Back
Top Bottom