Mkunazi Njiwa
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 8,538
- 7,559
Yaani USIKARABATI pale terminal 2 airport ili iweje? !![emoji44]Sasa wasipofanya hivyo,pesa za kununulia kofia, mashati na kanga za kuonga Wananchi kwenye kampeni watapata wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani USIKARABATI pale terminal 2 airport ili iweje? !![emoji44]Sasa wasipofanya hivyo,pesa za kununulia kofia, mashati na kanga za kuonga Wananchi kwenye kampeni watapata wapi?
kwani mnavyojenga vinakufa kwa muda gani ?Hilo la kusema unajenga kitu duni ni issue nyingine na Haina uthibitisho wa Moja kwa Moja.
Kila kitu kina life span
[emoji7]Matumizi mabaya wakati mwingine.
Mfano uwanja wa Taifa watu wanashangilia goli wanang'oa viti.
Wabongo tujifunze ustaarabu.
Zingatia maokotoHivi hata nchi nyingine zinafanya hivi hivi kama Tanzania inavyofanya?
Stendi za Mwendokasi zilizojengwa Juzi tu eti leo zinakarabatiwa! Halafu wanaotangaza kuzikarabati ndio wale wale waliozijenga.
Yaani Tangu Uhuru hadi Kiama ni Ukarabati tu! haya mambo yataisha lini au ni njiavyao ya kupiga hela?
View attachment 2778548
Inategemea unajenga kitu ganikwani mnavyojenga vinakufa kwa muda gani ?
hivi kuna nchi duniani imemaliza ukarabatiHivi hata nchi nyingine zinafanya hivi hivi kama Tanzania inavyofanya?
Stendi za Mwendokasi zilizojengwa Juzi tu eti leo zinakarabatiwa! Halafu wanaotangaza kuzikarabati ndio wale wale waliozijenga.
Yaani Tangu Uhuru hadi Kiama ni Ukarabati tu! haya mambo yataisha lini au ni njiavyao ya kupiga hela?
View attachment 2778548
Nch ipi duniani inayomaliza kukarabati na kuboresha miundombinu?Hivi hata nchi nyingine zinafanya hivi hivi kama Tanzania inavyofanya?
Stendi za Mwendokasi zilizojengwa Juzi tu eti leo zinakarabatiwa! Halafu wanaotangaza kuzikarabati ndio wale wale waliozijenga.
Yaani Tangu Uhuru hadi Kiama ni Ukarabati tu! haya mambo yataisha lini au ni njiavyao ya kupiga hela?
View attachment 2778548
Nishazingatia mkuu .
Kwahiyo unakiri mapungufu ya jenga jenga kila wakati , ila kwa vile unaamini na mimi nikipata upenyo nitaiba basi unaona hata leo wanaoiba ni sawa !Kituo cha mwendokasi feri kinatanuliwa ili kiweze kuwa na uwezo wa kupokea mabasi mengi kwa wakati mmoja sasa tatizo lipo wapi! Halafu wabongo njaa na roho za kwanini ndiyo tatizo letu kwa sababu huyo anayelalamika leo kesho akipata hiyo nafasi ndio anafanya balaa kuliko huyo aliyetoka.
Wabongo wengi hatuna kitu kinachoitwa uaminifu kwenye masuala ya fedha,huo ndio ukweli.
Sikiri,ila naamini mtu mwenye njaa mara nyingi anakuwa na roho mbaya na mawazo yake kila saa anahisi watu wanaiba tu basi na yeye anatamani ile nafasi aipate yeye naye aibe na kweli ikitokea akaipata hiyo nafasi basi lazima liwe jizi la hatari.Kwahiyo unakiri mapungufu ya jenga jenga kila wakati , ila kwa vile unaamini na mimi nikipata upenyo nitaiba basi unaona hata leo wanaoiba ni sawa !
Hivi hata nchi nyingine zinafanya hivi hivi kama Tanzania inavyofanya?
Stendi za Mwendokasi zilizojengwa Juzi tu eti leo zinakarabatiwa! Halafu wanaotangaza kuzikarabati ndio wale wale waliozijenga.
Yaani Tangu Uhuru hadi Kiama ni Ukarabati tu! haya mambo yataisha lini au ni njia yao ya kupiga hela?
View attachment 2778548
HatutanyamazishwaSikiri,ila naamini mtu mwenye njaa mara nyingi anakuwa na roho mbaya na mawazo yake kila saa anahisi watu wanaiba tu basi na yeye anatamani ile nafasi aipate yeye naye aibe na kweli ikitokea akaipata hiyo nafasi basi lazima liwe jizi la hatari.
Punguza roho ya kwanini utateseka tu.
Hatutanyamazishwa
[emoji2956]Nch ipi duniani inayomaliza kukarabati na kuboresha miundombinu?
Utamalizika wewe, ukarabati hauishi.
Tena sasa hivi siyo kukarabati, mama anafanya Rebuilding.
Upo hapo ulIpo?
Ok,ehe hapo mmetenga mabilion mangapi kwa ajili ya ukarabatiNch ipi duniani inayomaliza kukarabati na kuboresha miundombinu?
Utamalizika wewe, ukarabati hauishi.
Tena sasa hivi siyo kukarabati, mama anafanya Rebuilding.
Upo hapo ulIpo?
Dadako ni moto fayaaa[emoji1787][emoji1787]Dada yangu faiza anamajibu bana [emoji1]
Ova
Kituo cha mwendokasi feri kinatanuliwa ili kiweze kuwa na uwezo wa kupokea mabasi mengi kwa wakati mmoja sasa tatizo lipo wapi! Halafu wabongo njaa na roho za kwanini ndiyo tatizo letu kwa sababu huyo anayelalamika leo kesho akipata hiyo nafasi ndio anafanya balaa kuliko huyo aliyetoka.
Wabongo wengi hatuna kitu kinachoitwa uaminifu kwenye masuala ya fedha,huo ndio ukweli.
Awamu hii Ana moto wa gesi aiseDadako ni moto fayaaa[emoji1787][emoji1787]