hicho siyo kibao cha mbao kama unavyoweza kufikiria kama ulishawahi kupnda ndege huwez pnga hilo,Nimeona/shughudia mojawapo ya ndege zetu hapa tanzania ikiwa imepaki na katika kutizama vizuri nikaona chini kwenye tyre wameweka kigogo cha mti ili ndege isirudi/kwenda .je?i maana hizi ndege nazo hazinaga hand break kama gari au zipo ni hii ha ndege yetu ndio tuu haifanyi kazi.naomba kujuzwa View attachment 1864769
Ipo ila bila hicho ukija upepo mkali inaweza kusotaNimeona/shughudia mojawapo ya ndege zetu hapa tanzania ikiwa imepaki na katika kutizama vizuri nikaona chini kwenye tyre wameweka kigogo cha mti ili ndege isirudi/kwenda .je?i maana hizi ndege nazo hazinaga hand break kama gari au zipo ni hii ha ndege yetu ndio tuu haifanyi kazi.naomba kujuzwa View attachment 1864769
Waandike KAZI IENDELEEWafute hiyo HAPA KAZI TU, handbrake itafanya kazi.
ukiiangalia kwa makini utaelewa kama si mbaoSasa mbona ni mbao tena kama vile wanauza pale chalinze madereva wa malori nao wanavyo
Hii itakuwa ina handbraker....haina kibao kwenye tairihicho siyo kibao cha mbao kama unavyoweza kufikiria kama ulishawahi kupnda ndege huwez pnga hilo,
ndege zote huwekwa hicho kifaa ambacho huwa na muundo kama mbao au plastic ngum sana ,sabab ni uzito mkubwa sana wa ndege hasa ukizingatia inabebwa na tyre ndogo but zenye chuma ndefu sana kwenda juu.
ukitaka kujua why inawekewa hicho kigingi unaweza chukua mfano wa mtu mnene sana ambae amewekewa miguu yote ya chuma,ambpo ili atembee safe zaid bas ni lazma atumke hata fimbo even ana miguu bandia