Hivi ndio CCTV Camera zinavyofanya kazi. Msitufanye mandondocha

Hivi ndio CCTV Camera zinavyofanya kazi. Msitufanye mandondocha

Kaka Pekee

JF-Expert Member
Joined
Apr 3, 2018
Posts
336
Reaction score
564
Hii ni salamu kwa Watakatifu wetu Vyombo vyenye Mamlaka, vinavyojua kazi zao vyema na Ambao hawayumbishwi na kelele zetu za Mitandao kuwafundisha kazi.

Tafadhalini Angalieni namna CCTV za wenzetu waliopitwa na wakati zinavyofanya kazi.

Likitokea Tukio lingine Mtafute namna nyingine ya Kuandika Script ya Mambo Barabara ya kutueleza Wananchi Wadangayika, mkumbuke pia kuna watu wazima pia hivyo Bed Stories za watoto mjaribu kuziepuka ili Msiumbuke tena. Au ni Bora kufanya kazi yenu kiumakini kimya kimya. Mkatuletea majibu ya kueleweka.

Sasa kwa Faida yetu, tunaomba tujue aina ya CCTV Kamera za kisasa mlizo nazo zinazotoa picha Clear, Angle Mubashara na kutoa picha na negativu( Natania tu Msipaniki😛😛😛). Ila serious next time tungependa tuone Footage ya Camera kwa uthibitisho au CCTV Camera zetu zinatoa Still pictures tu?


1540273640622.png
 
Wenye Akili mtambue kitu ,kwa utawala huu wa kuuza sura na kupenda kiki, tungesha muona Mh.Waziri ama Kiongozi wa juu zaidi angetoa taarifa rasmi. Asante Mh.Kagi endelea kupiga kimya kupunguza maswali kuamsha waliolala.
 
Hii ni salamu kwa Watakatifu wetu Vyombo vyenye Mamlaka, vinavyojua kazi zao vyema na Ambao hawayumbishwi na kelele zetu za Mitandao kuwafundisha kazi.

Tafadhalini Angalieni namna CCTV za wenzetu waliopitwa na wakati zinavyofanya kazi.

Likitokea Tukio lingine Mtafute namna nyingine ya Kuandika Script ya Mambo Barabara ya kutueleza Wananchi Wadangayika, mkumbuke pia kuna watu wazima pia hivyo Bed Stories za watoto mjaribu kuziepuka ili Msiumbuke tena. Au ni Bora kufanya kazi yenu kiumakini kimya kimya. Mkatuletea majibu ya kueleweka.

Sasa kwa Faida yetu, tunaomba tujue aina ya CCTV Kamera za kisasa mlizo nazo zinazotoa picha Clear, Angle Mubashara na kutoa picha na negativu( Natania tu Msipaniki😛😛😛). Ila serious next time tungependa tuone Footage ya Camera kwa uthibitisho au CCTV Camera zetu zinatoa Still pictures tu?


View attachment 907820

Ccm inapendwa na wenye upeo mdogo wa elimu masikini wa kutupwa na kina mama wa vijijini
 
Wenye Akili mtambue kitu ,kwa utawala huu wa kuuza sura na kupenda kiki, tungesha muona Mh.Waziri ama Kiongozi wa juu zaidi angetoa taarifa rasmi. Asante Mh.Kagi endelea kupiga kimya kupunguza maswali kuamsha waliolala.
44255284_2062786027116908_1828100400876617728_n.jpg
 
Ccm inapendwa na wenye upeo mdogo wa elimu masikini wa kutupwa na kina mama wa vijijini
Haya Mambo ya Chama ndugu ngoja zije timu CCM na Upinzani muanze vita ya maneno, mi simooo! (Ndukiii)
 
Wangejaribu kujifunzia hata kwa ile ya yule kashoghi kidogo wangeelewa elewa inavyosomwa
 
Akienda hata Israel au USA wapo watundu wa udukuzi wanao uwezo wa kuzidukua CCTV zote kuanzia hotelini hadi gymkana hata ccctv ziwe na password, kama kweli ana chip information zote zipo kwenye kampuni aliyoingia nayo mkataba,wamtumie awakabidhi police kusaidia uchunguzi kuwanasa wahusika.
Kuna picha jipya linaitwa microchip linatoka hivi karibuni,tutaoneshwa hadi utumbo.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wangejaribu kujifunzia hata kwa ile ya yule kashoghi kidogo wangeelewa elewa inavyosomwa
Au ile ya BBC na wanajeshi wa Cameroon walivoumbuliwa walipowauwa kikatili wana wake washukiwa wa boko haramu.Technology ni kubwa inashinda uchawi
 
Back
Top Bottom