Hivi ndio CCTV Camera zinavyofanya kazi. Msitufanye mandondocha

Mkuu kwenye movie kuna vitu vya uongo vipo hata wao wanazijua Picha za CCTV na baadhi majumbani wanazo shida inakuja kwenye kipande inatakiwa uoneshe Picha ilipigwa Horizontal na kusema imechukuliwa juu kiitifaki na kwa kuwa tupo kwenye kutengeneza Episode 2 inatakiwa ikubalike...Wewe ulielewa pale mhanga anabaki na Siraha za kivita na gari waliomteka wanakimbia yeye anashindwa hata kutumia siraha moja kuwazuru wasio na siraha maana Siraha wameogopa eti kukamatwa nazo wameziacha Gymkhana na gari ile ile tuliyotangaziwa Billion moja...
 

Jambazi linavamia nyumba, kupoteza ushaidi na kutochafua nyumba LINA VUA VITU wakati wa kuingia ndani
 
Picha lilitengenezwa kuzima habari ya MV nyerere , naona mnavopata taabu kung'amua hii makitu, ila anyway kila mtu na mtazamo wake ,.
 
Wenye Akili mtambue kitu ,kwa utawala huu wa kuuza sura na kupenda kiki, tungesha muona Mh.Waziri ama Kiongozi wa juu zaidi angetoa taarifa rasmi. Asante Mh.Kagi endelea kupiga kimya kupunguza maswali kuamsha waliolala.
wale anaowambiaga ..wewe hujanipigia saluti vizuri... wewe kwanini umechelewa kuingia kikaoni.. mara kamanda siro uniambie yule dogy kafichwa wapi... ndio haohao leo wamepiga kazi ya kutengeneza filam ya MO na ndo mana NINJA anajua mchongo wote hakutaka kujihusisha.
 
Lakini si zinauwezo wa kulifuatilia gari kilomita nne huko mitaani! Si zile zinazoonekana angani usiku zikitoka upande mmoja kwenda mwingine? Mimi huwa najuwa zinafuatilia wezi hizo cctv.
 
Lakini si zinauwezo wa kulifuatilia gari kilomita nne huko mitaani! Si zile zinazoonekana angani usiku zikitoka upande mmoja kwenda mwingine? Mimi huwa najuwa zinafuatilia wezi hizo cctv.
...Hizo zilikuwa Off siku ya kurudishwa Gymkhana, zilizokuwa kazini zilianzia Mbele kidogo ya Mataa ya Salendar ndio maana hawakuwaona wakipita kumrudisha πŸ™‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…