Hivi ndio jinsi Kenya itakavyoweza kurudusha uchumi kwa wakenya " through Magufulification of Kenyan Economy"

Hivi ndio jinsi Kenya itakavyoweza kurudusha uchumi kwa wakenya " through Magufulification of Kenyan Economy"



Ndugu zetu wakenya, ni wazi kwamba pamoja na shida nyingi za kiuchumi zinazoikumba serikali na wananchi wa Kenya, tatizo mama ni kukosekana kwa udhibiti wa uchumi wa Kenya, ambapo watu na makampuni machache yanamiliki sehemu kubwa ya uchumi wa Kenya.

Kitendo cha Kuwepo kwa watu wachache wenye nguvu za kiuchumi, kumewafanya wanasiasa wengi kuwa vibaraka wa matajiri na kuifanya serikali ya Kenya kuwa dhahifu sana mbele ya matajiri.

Magufuli amejaribu sana kupambana na hiyo hali kiasi cha kuweza kuongeza uwezo wa serikali ya Tanzania katika kumiliki uchumi wa nchi, hii ndio sababu kubwa ya Tanzania kuongoza Afrika ktk 1)Economic inclusiveness index, na 2) Kupunguza umasikini.

Kujifunza kwa jirani yako mambo mazuri ni ujasiri sio unyonge.


Ndiyo maana halisi ya ubepari. Kenya uchumi wake ni kama wa Marekani, tabaka la juu linalojumuisha wasiozidi asilimia 1 wanajodhi uchumi huku tabaka la kati likihangaika nalo kuonyesha kwamba lina uwezo kwa kutumia hela visivyo. Tabaka la chini ndo linawabeba.

Bahati mbaya siyo Kenya bali hata Tanzania hali ni ile ile
 
Kalalamike IMF
Pole sana ila uchumi wetu ulikua 47bl broh 2014 na mwaka 2018 jana 57 bl na mwaka huu 2019 ni 63bl expected to be 64 bl. Nyie uchumi wenu ni 73bl expected to 78bl. Huo wakupika kufika 99bl sjui 100bl kwa 5% rate mjidanganye wenyew
 
Ywapiga hesabu za st kayumba huyo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nikubali nini wakati Formula unatumia ya St Kayumba! Hizi Shule mnafunzwa nini?

The following equation is used to calculate the GDP: GDP = C + I + G + (X – M) or GDP = private consumption + gross investment + government investment + government spending + (exports – imports).
 
Heheeee!!!unafikiria gdp hutafutwa na formular za st kayumba
Iweje nchi zingine zote inakubali lakini ikifika Kenya inakataa?, tena inakata kuanzia 2015 hadi 2018 pekee lakini miaka mingine yote inakubali?, hahahaha
 
Back
Top Bottom