Wewe hicho Chuo chako ulichosoma kimekusaidia nini?? Kwa ujumla Elimu ya Tanzania ni majanga tu kuanzia chini mpaka juu,,hamna penye uafadhali!!Wakuu naomba kuweka wazi kwamba hapa tanzania kuna vyuo vya kata hii ni kutokana na ukweli kwamba vinachukua wanafunzi wabovu ,hamna wahadhiri wa kutosha n.k vyuo vyenyewe ni hivi hapa 1.SAUT 2.Arusha university 3.tia 4.cbe 5.teofilo kisanji 5.MUCCoBS ,ahsanteni
we umesahau na ud
:shock: sasa wewe kwa uandishi huu kweli...duh..unachafua image ya chuo chetu! Hivi kuna chakijibu hapo? hahaaa...kuwazua opaqueness? udbs ????uwiii...certificate ya ujasiriamali ...!!!!!tobaaa..sio kila mtu hana kazi ya kufanya kama wewe! unakalia chat tu Jf ..fanya kazi Binti..usingoje kuolewa tuu!! :redface:
:shock: sasa wewe kwa uandishi huu kweli...duh..unachafua image ya chuo chetu! Hivi kuna chakijibu hapo? hahaaa...kuwazua opaqueness? udbs ????uwiii...certificate ya ujasiriamali ...!!!!!tobaaa..sio kila mtu hana kazi ya kufanya kama wewe! unakalia chat tu Jf ..fanya kazi Binti..usingoje kuolewa tuu!! :redface:
Wakuu naomba kuweka wazi kwamba hapa tanzania kuna vyuo vya kata hii ni kutokana na ukweli kwamba vinachukua wanafunzi wabovu ,hamna wahadhiri wa kutosha n.k vyuo vyenyewe ni hivi hapa 1.SAUT 2.Arusha university 3.tia 4.cbe 5.teofilo kisanji 5.MUCCoBS ,ahsanteni
Elewa mada wewe! Kuwa boss sio ukosawa kichwani na kama ulipigwa 0713--- au ulivua chupi tunajuaje? Tunaongelea real competency ya kudeliver.
Hapa vyuo bomba ni OUT na UDSM basi!
Wakuu naomba kuweka wazi kwamba hapa tanzania kuna vyuo vya kata hii ni kutokana na ukweli kwamba vinachukua wanafunzi wabovu ,hamna wahadhiri wa kutosha n.k vyuo vyenyewe ni hivi hapa 1.SAUT 2.Arusha university 3.tia 4.cbe 5.teofilo kisanji 5.MUCCoBS ,ahsanteni
nilichunguza nusu. ni kwamba watu wa education ndio hakuna wenye div 3 mchwara. ila honestly kwa faculty zingine wapo. kwa edn labda kama alianzia mafunzo ya awali au alisoma certificate/diploma ndio wanaochukuliwa.Aah shyja mbna nawajua wengi wapo sauti na hzo div mchwaraa?au wameanza this year kuweka hzo cut points za juu mkuu?