Hivi ndio vyuo vya kata vya Tanzania

Hivi ndio vyuo vya kata vya Tanzania

Unakuta chuo kama SAUT LL,B wanachukua mpaka iii.17 jamani huu ni ujinga mtupu halafu eti unakuta ana G.P.A ya 4.5 duh hii ni hatari chunguzeni wengi wenye three chafu wapo saut,university of arusha,ruco,,mwenge,teku huko ndo wamejaa


kijana no research no right to comment. SAUT MWANZA kama huna cut point ya 4.5 kupanda juu sahau kuwa mwanachuo wa SAUT. nadhani unaelewa inaanzia division ngapi hadi ngapi. so usije ukabahatisha div 3 ya 15 ukajipa matumaini ya kujenga jiji la Mungu. SAHAU
 
kijana no research no right to comment. SAUT MWANZA kama huna cut point ya 4.5 kupanda juu sahau kuwa mwanachuo wa SAUT. nadhani unaelewa inaanzia division ngapi hadi ngapi. so usije ukabahatisha div 3 ya 15 ukajipa matumaini ya kujenga jiji la Mungu. SAHAU

Aah shyja mbna nawajua wengi wapo sauti na hzo div mchwaraa?au wameanza this year kuweka hzo cut points za juu mkuu?
 
Mie naomba niwaulize eti mkiwwkewa admissions letters za ud na Chuo chochota kati ya tajwa hapo juu..wangapi mtatupa kulee ya udsm?swali tuu jaman nawapenda saana
 
SAUT ndo chuo kinachoongoza kuchukua three chafu tanzania a.k.a zoa zoa
Kijana maliza masomo yako hapo Harvard, halafu uje tubanane kwenye ajira na sisi tuliosoma hapo unapopaita zoazoa
 
Yaani ukishakula makande we ni kujamb*a tuu na kuandika ujinga!
 
Wakuu naomba kuweka wazi kwamba hapa tanzania kuna vyuo vya kata hii ni kutokana na ukweli kwamba vinachukua wanafunzi wabovu ,hamna wahadhiri wa kutosha n.k vyuo vyenyewe ni hivi hapa 1.SAUT 2.Arusha university 3.tia 4.cbe 5.teofilo kisanji 5.MUCCoBS ,ahsanteni

Acheni ubaguzi wa kielimu na tupiganie maendeleo ya kielimu. Sikusoma udsm na niko vizuri practically and theoretical na nna GPA kali na nifanya outstanding things nikiwa chuo changu unachokiita cha kata. Masters udsm nkatinga jamaa wa hapohapo na vGPA vyao vya 2. wakaanza aah wap utapataje GPA ya 4. we chuo cha kata nkasema itajiambia na kila paper jamaa niliwalaza chini. Acha dharau nahisi hata wewe una gentleman ndo maana unaendekeza ubaguzi wa ki*****u. Tuambie umefanya kitu gani peculiar zaidi ya kuzunguka makoridoni kuomba uongezwe kwenye list ya assignment ilihali ulikuwa unaangalia series.
 
mh! ndo mana tz inaongoza kwa kuwa na elim dun EACs,if wasom wenywe ndo hawa? unajcfia chuo badala ya competence u hav?
 
2be a scholar means u hav a critical thinking..4 u, u lack this..ww ni sawa na taifa stars ambao hata waghalamiwe vp,,
 
unahitaji tu kueleweshwa kwa sababu hujui.

mifumo yote ya taasisi za binafisi kokote duniani ina ufanisi wa hali ya juu sana na wanasimamia kwa kikamilifu na hata uende marekani utakuta private wana ufanisi kushinda taasisi za umma.

wakati unaropoka hivi jaribu kuanzia mwanzo wa elimu mpaka juu ya elimu.

1.shule ya msingi.

ukichukua watoto wanaosoma shule za binafisi na wale wa shule za umma. utabaini haya.

kwanza marks wanazopata watoto wa shule za binafisi ni kubwa sana kwa sababu kila kitu wamefundishwa kwa ukamilifu na wakaelewa,wale wa shule za umma wanapata marks ndogo sana kwa sababu hawajafundishwa kwa ukamilifu na hakuna usimamizi na wengi wao wanakuwa ni wanafunzi wa kubahatisha maana hawaelewi.

lakini unaweza kushangaa huyo wa shule za umma akawa ana akili kushinda wa binafsi lakini kwa sababu hakufundishwa sawasawa ama hakufundishwa kabisa basi hata ukiwapa swali moja huyo wa umma anaanza kujiumauma asijue la kufanya na huyo wa binafisi anafanya kwa haraka sana na kwa usahihi. bisha kama wewe ni mbishi wa asili lakini kama unachangia kwa hoja utakubali ukweli huu

pili,hata ukiamua kuwajaribu watoto hawa juu ya uelewa wao wa jumla katika mambo mbalimbali utakuta hawa wa private wamejengwa katika misingi ya kujua mambo mengi sana ya kidunia na hawa wa umma unakuta hawaelewi nini kinaendelea na kwa kiasi kikubwa wao ni kukariri kwa kwenda mbele.

tatu,unapokuja mtihani wa darasa la saba unakuta hawa wa shule za binafisi wanapata marks za juu mno sawa na marks wanazopata kwenye mitihani ya shuleni na hawa wa umma ndio wengi wanaishia kupata marks za chini na kufaulu kwa mbinde sawa na marks walizokuwa wanazipata kwenye mitihani ya shuleni

KAMA SHULE YA MSINGI WANAFUNZI WANGEKUWA WANAPEWA MITINI YA SHULE ZAO TU kama mitihani ya kuhitimu,BASI BILA SHAKA UNGESEMA YALEYALE KUWA KWA NINI WANAFAULU WOTE AMA KWA NINI WANAPATA MARKS ZA JUU,LAKINI KWA SABABU MTIHANI NI MMOJA HAPA UTAKUWA KIMYA WALA HAUTAKUMBUKA KAMA NA HUKO WANAPATA MARKS ZA JUU KUSHINDA WA SERIKARI

2.sekondari kidato cha kwanza hadi cha nne.
huku nako hali ni ileile,wanafunzi wa private wanafundishwa vizuri kwa ustadi mkubwa chini ya usimamizi makini,wale wa shule za serikali ndio wanajitafutia wenyewe,kama kuna kitu hakupata ndio basi,hawana mwongozaji,wengi wao hata hawajiaminina darasani wamelundikana kama mahindi,


tofauti yao.

kwanza,wanafunzi wa sekondari shule binafisi wanacover karibu kila kitu kwa wakati sawia,lakini wale wa umma wengine mpaka wanaingia necta form four hawajawahi kusoma kitu,wanaishia kujaza majina tu. kwa hali hii wanafunzi wengi wa private ukikagua marks zao wanapata marks za juu sana hata mashuleni kwao lakini wale wa shule za serikali wanapata marks za chini hata huko mashuleni,kumbuka shule za serikali O LEVEL ndio zinapewa nafasi ya kwenda kuchagua wanafunzi waliofanya vizuri kwenye mtihani wa darasa la saba na hivyo wanafunzi wengi wa private walikosa nafasi hizo na hivyo shule za private wanafunzi wengi ni makapi baada ya shule za serikari kuwaacha,MIMI MWENYEWE NI MHANGA,SIKICHAGULIWA KWENDA FORM ONE IKABIDI WANINUSURU NA SHULE YA PRIVATE na ni watano tu tulinusuriwa na wengine hawakwenda kokote kwa kuwa hakuna aliyepenya darasa zima,na nikawa mzuri na baadae moto wa kuotea mbali.


pili,wanafunzi wa shule za binafisi wanaongoza kwa ufaulu katika mitihani ya kitaifa huku wale wa shule za serikali wengi wakioongoza kufeli hata kama wanaakili kwa sababu hawahudumiwa ipasavyo,na kwa KUWA WANAFANYA MTIHANI MMOJA WOTE HAKUNA ANAEPIGA KELELE KUWA MBONA WA SHULE ZA PRIVATE WANAPATA MARKS ZA JUU,LAKINI KELELE ZINAZOPIGWA NI KWAMBA SHULE ZA SERIKALI NDIZO MBOVU ILA WANAFUNZI SI WABOVU,kaangalie marks za mitihani ya mashuleni kati ya watoto wa private na wale wa serikali utakutana na tofauti ileile ya watoto wa private kupata marks za kubwa bila kujali kama walikuwa na uwezo usiostahili hata kuchaguliwa serikali na wale wa shule za serikali wanapata marks ndogo licha ya kuwa ndio waliokuwa na ufaulu mkubwa darasa la saba.


mfano mdogo tu,shule niliyosoma mimi O level haikuwahi kufelisha mwanafunzi hata mmoja form two kwenda form three kwenye necta ya form two toka nilipoanza shule pale miaka ya 2000s na kuna siku mwanafunzi mmoja wa shule za serikali akaniambia haiwezekani wafaulu wote kila mwaka labda kama mnaiba mitihani,ukweli naujua kuwa shule haijawahi kuiba mtihani ila nikamuacha kwa sababu yeye alisumbuliwa na imani,na mfano mwingine,mimi nina mdogo wangu wa kike palepale niliposoma na uwezo wake ni wakawaida sana,jana ndo kanitumia matokeo kuwa ana wastani wa 77 na kapata A tano,wa kwanza ana 95 na wa mwisho ana 50, na wako 142. hapo hakuna aliyefeli wote wamefaulu.
lakini ukiniambia niweke matokeo ya shule yoyote ya serikali ni aibu,lazima wapo waliofeli ama wamepenya kwa tabu.


tatu,matokeo ya necta form four hakuna anaebisha kuwa kila mwaka shule za private ndio zinafanya vizuri wakati wanafunzi wote wanatumia syllabus ileile na mitihani ni ileile na vitabu ni vilevile na walimu wao wametoka kwenye vyuo mbalimbali ikiwemo na hivyo vyuo mnavyoviita vya kata


3.advanced level.

kama kuna elimu mbovu niliyopata kuishuhudia ni advance shule za serikali,kama kawaida yao,serikali wanajichagulia wanafunzi wote waliofaulu alafu makapi wanaachiwa tena ndugu zangu wa private,private wanafunzi wao ni wale wa div 3 za mwisho na four,wapo wanaoreseat kabisa,lakini wao ukifika na CCC(C TATU) ZA MASOMO YOYOTE HATA KAMA KWENYE KOMBI INASOMA DFC ama DDF ama CCF nk watakuchukua wanakuumba mpaka unakuja kuapata one,two ama three ya kwenda chuoni.


KWA SABABU NAMI O LEVEL NILIFAULU serikari haikuwa tena na jeuri ya kuniacha,wakanipeleka kwenye shule zao,nilipofika tu shuleni nilichanganyikiwa na mandhari peke yake kabla hata sijaingia darasani,nilipiga simu palepale nyumabani wanihamishe shule lakini ilishindikana,nilisoma kwa tabu sana na mpaka namaliza shule siwezi kusema nilienda advance kufundishwa bali ile shule ni sawa na tu na kituo cha kufanyia mtihani,sitaki hata kusikia serikali na shule zao,pale shuleni nilibahatika kukutana na wanafunzi waliopenya toka shule za serikari ambao kwa idadi walikuwa wachache sana mana wengi tulitoka private schools,wengi wao walionekana kuna vitu vingi sana hawakujua na walifaulu kwa kukariri zaidi hata kama walikuwa na akili nyingi.


nakumbuka matokeo menyewe ya shule ya mtihani wa necta form six yaliwaangusha wengi na wengine wakapata hata zero lakini yote hayo ni kwa sababu,hatukufundishwa,hatukupewa vitabu,yaani ni mwendo wa watoto wa bata wa kujitafutia kila kitu.


matokeo ya form six yakishatoka unakuta watu mpaka wanafunzi wa shule za private walioreseat wamefanya vizuri kwenye shule za binafisi na wale waliopenya na kuchaguliwa serikalini wanaanguka


4.vyuoni

katika vyuo mambo ni yale yale,kwanza ikumbukwe kuwa vyuo vya serikali vimekuwepo muda mrefu sana na vyuo vingi vya private si vya siku nyingi,lakini ni ajabu kuwa kwa muda mfupi sana private wamepiga hatua kubwa sana,si tu katika kuweka miundombinu bali hata katika ubora wa elimu maana hawataki mchezo,sema kinachosumbua watu ni kule kukariri kuwa mtu akisema chuo basi ni mlimani pekee,ama mtu akisema anaenda kusoma engineering basi ni civil engineering,lakini ukimwambia mtu eti nasoma telecom engineering kwa kiasi kikubwa watu wengi mtaani wataona unachukua kitu cha ovyo labda mpaka uanze kumwelewesha taratibu,IMANI NI KITU KIBAYA SANA WAKATI MWINGINE.


NIMETOA MFANO HUMU,shule niliyosoma O LEVEL kuna mwanafunzi kamaliza form six mwaka jana pale,matokeo yake ya o level alipata four ila akafanikiwa kuwa na C tatu katika 4 yake,ikabidi asome pale maana hakuwa na pa kwenda,shule ya private ikamfundisha akawa anapata marks nzuri tu na mpaka necta inafika alikuwa anafikisha wastani wa shule,matokeo yake ya six akafaulu vizuri na sasa yuko tena serikalini wamemchukua kwa kuwa katengenezwa,yuko hapo udsm mwaka wa kwanza,na ndio alikuwa mwanafunzi bora wa mkoa mzima mpaka serikali wakampa zawadi wakati kuna shule kubwa na za muda mrefu za serikali na mashuhuri lakini wanafunzi wake hawakufua dafu kwa huyu,pia shule yenyewe pamoja na kuchukua makapi yote kitaifa ilikuwa ya 17(TUNAPOSEMA SERIKALI HAIFAI WATU HAWAELEWI KUWA KARIBU KILA TAASISI IMEATHIRIKA NA UBOVU WA SERIKALI AMA UBOVU WA MFUMO NA HATA ELIMU HAIWEZI KUWA IMESALIMIKA NA ATHARI ZA SERIKALI KATIKA MATOKEO)


NISEME KWA KIFUPI SANA KUWA SHULE ZA PRIVATE NA VYUO VYA PRIVATE NI SAWA NA TIMU YA ARSENAL,WAO WANA KAZI YA KUTENGENEZA NA KUNOA VIPAJI VYA WANAFUNZI NA KUWAUZIA SHULE NA VYUO VYA SERIKALI AMBAVYO KWA KIASI KIKUBWA NDIO WANAONGOZA KUHARIBU WANAFUNZI ALAFU WANASINGIZIA UBORA WAO WA ELIMU UKO JUU.




IVI WEWE KAMA UMEPEWA KAZI YA KUFUNDISHA 1+1=2 NA WOTE WAKAELEWA UNATAKA WAKIFANYA MTIHANI WAJIKOSESHE ILI WAONEKANE WANATENDA HAKI?this is crazy.
nimesoma O level katika shule ambayo toka ianzishwe miaka ya 1990s mpaka leo haijawahi kupata div zero,unataka wajikoseshe wapate zero?ili iweje?hivi mbona huulizi kwa nini shule za serikali zinachagua wanafunzi wote wenye uwezo alafu zinashindwa kuwafanya wafaulu wote maana hata kabla hazijawachagua wanakuwa wamethibitika kuwa na uwezo.


NI KICHEKESHO SANA KUWA WATU WENGI HAWAWEZI KUNGAMUA.


PRIVATE SCHOOL=wanachagua wanafunzi wao miongoni mwa makapi yaliyoachwa na government schools
GOVERNMENT SCHOOLS=wanachagua wanafunzi wenye uwezo tu na wanaonekana hawana uwezo wanawaachia private.


KAMA UNGEKUWA MDADISI ulipaswa pia kujiuliza kwa nini shule za serikali zenye wanafunzi wote wenye uwezo hawafaulu wote?
pia kwa nini shule za private zinafanya vizuri pamoja na kuwa wanafunzi wengi ni makapi ambao hawakustahili kupata nafasi serikalini?




acha uongo wewe kutumia majina na si vigezo na ufanisi wa vyuo,mimi mbona kuna watu nimesoma nao shule ya msingi nilikuwa nawazidi uwezo,nikasoma nao sekondari pia uwezo wao ulikuwa chini yangu na hata advance na kwa sababu huku kote mtihani ni mmoja yaani wa kitaifa hawawezi kubisha,sasa kwa kuwa wao waliamua kusoma huko na mimi nikaenda kwingine na mitihani yetu inatofautiana leo unataka kutoa hitimisho kwa kutumia mitihani tofauti???????


hauwezi kuwapima watu kwa kutumia vigezo tofauti,kungekuwa kuna mtihani mmoja wa vyuo ubishi huu nadhani usingekuwepo maana ni wa kishabiki zaidi.


ngoja nikupe mfano mdogo kwa evaluation yangu kuhusu kusifia watu kwa vyuo walivyotoka.
kuna siku nilihudhuria kongamano la kigoda cha mwalimu Nyerere pale udsm MWAKA JANA,mada ilikuwa ni dira ya taifa,huku tukiangazia azimio la arusha,watoa mada alikuwepo zitto na mdada mmoja simkumbuki,
pia alikuwepo Willy Mtunga wa kenya(jaji wa mahakama ya juu kenya,supreme court),KINGUNGE NA WENGINE WENGI.


ilipofika wakati wa floor panel kuchangia,wanafunzi wa udsm walichangia utumbo karibu wote wakionekana walikuwa na uelewa mdogo sana. binafsi nilishangaa sana kwa wale waliokuwepo watanielewa na wasiponielewa nitawaelewesha.


siku hiyo tukapata mwaliko wa kuhudhuria uzinduzi wa documentary ya mwanaharati na mpigania uhuru DR. Walter Rodney,UZINDUZI uliofanyika kesho yake na documentary ilitengenezwa na Clairemount Chung kutoka JAMAICA.


nilikuwa mwanafunzi pekee ambaye sikutoka udsm,tulipofika mambo yaliendelea,ilipofika wakati wa kujadili ndipo wanafunzi wa udsm walitia aibu,kwa sababu wazungumzaji walikuwa wanajua mambo mengi sana na english yao haikuwa ya mchezo na mada ilikuwa nzuri sana,

ila nilishangaa kuona wanafunzi wa udsm wakikimbia bila hata kuchangia wala kuuliza swali mara tu baada ya mjadala kuanza na alibaki mwanafunzi mmoja tu,binafisi nilichangia walau kiasi na nikaongea na nguli hao wa histoaria japo mimi si mwana arts. kifupi wale jamaa walikimbia na kwa haraka haraka nilihisi kiingereza ndo kiliwakimbiza na uelewa wa wale jamaa maana haikuwa rahisi kuchangia mbele ya watu wanaojua kupitiliza tena wengine maprofesa toka sehemu mbalimbali duniani.

mjadala uliisha saa sita usiku na wanafunzi tulikuwa wawili tu,mmoja wa udsm aliyebaki japo hakuchangia wala kuhoji chochote na mimi.





maelezo haya nadhani nimeyajibia vya kutosha,ila si vibaya nikaongeza kidogo.
huko private ufundishaji wao ni tofauti sana na vyuo vya serikali na usifikiri wanapewa marks.


mfano. udsm unaingia lecture,wanafunzi mko kama mia 500 ama 400 ama 300 lecturer anafundisha kundi lote hili na wanafunzi wake hawaelewi kwa mmojammoja,hapo anatumia microphone,hakuna hata nafasi ya kusema mwalimu sijaelewa,ikipigwa lecture ngumu wanafunzi mnatoka hamjaelewa na hamkuuliza ili mueleweshwe,hapo unategemea uje kupata GPA kubwa wakati hata darasani hupati nafasi ya kuelewa kila kitu?marks zinaanzia hapa kupungua na ukitoka hapo unategemea discussion zikusaidie na ukute hao wanaokusaidia nao kuna vitu wamemiss.


vyuo vya private unakuta darasa limegawanywa kwa wanafunzi 40 ama 60 kila darasa japo kozi ni moja na labda ina wanafunzi 150.
wanafunzi wanafundishwa kwa ukaribu mpaka lecturer anapata nafasi ya kuwazungukia aone wanafanya nini,je wameelewa,pia anakuwa amewakariri uelewa kwa kila mmoja,na wasipoelewa wanauliza na mwalimu anawaelewesha na hata ofisini unaweza kumfata mwalimu akakuelewesha. rejea idadi inayotakiwa kufundishwa na mwalimu mmoja,maana hili lundo kama mahindi lina athari zake na wengi wanaingia tu kama ushahidi,pia serikalini huwezi kumkataa lecturer ambaye numwelewi yaani ni mtindo wa kwenda nae hivyo hivyo,private kama lecture haeleweki mkisema tu anang'olewa na kibarua kinaota nyasi na mnatafutiwa lecturer anaeeleweka.


HAWA WAKIJA KUFANYA MTIHANI KWA VYOVYOTE VILE LAZIMA WAFANYE VIZURI KULINGANA NA WALIVYOFUNDISHWA.


watu ni wabishi tu. maana sijajua kigezo gani wanatumia kusema WANAFUNZI WA PRIVATE hawana uwezo .
hivyo vyuo vya private vina wanafunzi toka hata shule zinazojulikana kama shule za watu wenye vipaji maalumu kama tabora boys,mzumbe,kibaha,ilboru,tena wengine wamesoma shule za vipaji tu kuanzia form one mpaka form six.

KAMA BADO HAUJAELEWA WEWE UTAKUWA NA AJENDA NYINGINE.

C.C ODILI SAMALU
 
Wakuu naomba kuweka wazi kwamba hapa tanzania kuna vyuo vya kata hii ni kutokana na ukweli kwamba vinachukua wanafunzi wabovu ,hamna wahadhiri wa kutosha n.k vyuo vyenyewe ni hivi hapa 1.SAUT 2.Arusha university 3.tia 4.cbe 5.teofilo kisanji 5.MUCCoBS ,ahsanteni


Japo sijasoma ktk chuo chochote kati ya hivyo ulivyotaja, ningependa nifahamu yafuatayo kutoka kwako msomiODILI SAMALU:

1. Vyuo visivyo vya kata ni vipi hivyo?

2. Hivyo ulivyosema vya kata vipo kata gani/zipi?

3. unatofautishaje hivo ulivyovitaja na hicho ulichopo/unachosoma?

4. Chuo kikuu maana yake ni nini?


5. wewe unasoma au unasomea chuo kikuu?
 
Mie naomba niwaulize eti mkiwwkewa admissions letters za ud na Chuo chochota kati ya tajwa hapo juu..wangapi mtatupa kulee ya udsm?swali tuu jaman nawapenda saana

Chonde chonde muke ya muyahudi , Nini hicho ulichoandika kwenye RED? Kama wewe ndio mara yako ya kwanza kukanyaga UDSM acha mapepe tulia. Hata semister ya kwanza hujamaliza unaanza kuropoka! Pia, acha kabisa kutuaibisha Alumni wa UDSM kwa uandishi wa hovyo namna hiyo! Bora ufanye kazi ya kumbembeleza mumeo(myahudi) maana hiyo ndiyo inayokufaa sana!!
 


Chonde chonde muke ya muyahudi , Nini hicho ulichoandika kwenye RED? Kama wewe ndio mara yako ya kwanza kukanyaga UDSM acha mapepe tulia. Hata semister ya kwanza hujamaliza unaanza kuropoka! Pia, acha kabisa kutuaibisha Alumni wa UDSM kwa uandishi wa hovyo namna hiyo! Bora ufanye kazi ya kumbembeleza mumeo(myahudi) maana hiyo ndiyo inayokufaa sana!!

Hahahaah wewe chem nini sijui unachekesha lol ...unamtathmini mtu ambae ata haumjui ...eti first semester emb kalale ka hauna cha kuandka kuna ajabu gani mtu kukosea kutype kama haujaelewa ni wewe Kwa ufinyu Wa akili zako...deal with it by yourself... kwani nipo kwenye mtihani hapa mpaka nitoe povu kuandka kila herufi sahihi we vipi ..Nina mambo mengi ya muhimu that's why nilikuwa naandka fast plus kumfunga beb tie of course hujakoseaa saana mfyuuuu
 


Chonde chonde muke ya muyahudi , Nini hicho ulichoandika kwenye RED? Kama wewe ndio mara yako ya kwanza kukanyaga UDSM acha mapepe tulia. Hata semister ya kwanza hujamaliza unaanza kuropoka! Pia, acha kabisa kutuaibisha Alumni wa UDSM kwa uandishi wa hovyo namna hiyo! Bora ufanye kazi ya kumbembeleza mumeo(myahudi) maana hiyo ndiyo inayokufaa sana!!

Eti na wewe umepta Chuo...hapo sasa umejibu nini?ume argue up.upu gani?bdala ya kujibu content unajibu ambavyo ata havihusu ndo nyie mkifka kwenye paper mnaanza kuandka majibu yote Kwa herufi kubwa kwekwwkwee sitomsahau dr mbamba watu kama nyie alikuwa anawadiscolisha wote its a big sign of illiteracy!.... na Kwa infor yako ata kabla sijakudosea proffesion yangu wewe kuku ...wayahudi uwa hawaoi mambumbumbuuu...ni wewe tuu haujui...kama hauna hoja za kuchangia Fanya mengne hauna kalale
 


Chonde chonde muke ya muyahudi , Nini hicho ulichoandika kwenye RED? Kama wewe ndio mara yako ya kwanza kukanyaga UDSM acha mapepe tulia. Hata semister ya kwanza hujamaliza unaanza kuropoka! Pia, acha kabisa kutuaibisha Alumni wa UDSM kwa uandishi wa hovyo namna hiyo! Bora ufanye kazi ya kumbembeleza mumeo(myahudi) maana hiyo ndiyo inayokufaa sana!!

Sasa Mimi na wewe hapo nani anaiabisha udsm?alafu hey!..point of correction!.. sisomi udsm...nilisoma udbs!..mfyuu don't wish to know my proffesion..mijtu mingne hapo ud inasomea culture blah blah ..sjui linguistic my a.ss stupid courses utakuta janaume zima kama wewe unachukua what do you expect?of course utakuwa na akili za hvyo hvyo kike kike no wonder why umekaa hapo unamsuta mwanamke hvi kweli dume zma ukasutane na mwanamke!..zmo zote?yeah ni kusuta cz umeacha content ya mada unaongelea vtu ambvyo havihusuu hautoi hoja yeyoteee...lol....ndio maana udbs iliamua kuanzsha school yake aisee manake ukisema udsm mmhhh wengne tunabebeshwa mazgo isiyo yetu..ishu sio udsm tuu..ishu udsm course ganiiiiiiii?...umeskia wewe linguistic!...
 
Back
Top Bottom