pierre tall
JF-Expert Member
- Nov 5, 2013
- 4,131
- 3,505
Aliimba wimbo ganiHii sasa ndo show ambayo unaweza lipa kiingilia ukaenda ona...live band...siyo unapiga playback
Hizi ndo show ambazo 98% ya wasanii hawaziwez kwa sababu yakubebwa na vyombo vya music...yaan unasikia sauti hapo ya hao jamaa ni sawa sawa na ile ambayo waliimba wakat wanarecord...nimeamini kwa nini wanasema kiba huwa anajua kuimba sana...hii sasa nimeamini
Mkuu unaweza fungua hiyo video ukajionea mwenyewe....Aliimba wimbo gani
Sidhani kama aliogopa audience, pengine labda ni suala la management back stageHujanijibu swali kwa nn hakuimba wimbo wake au aliogopa audience akaomba back up kutoka sauti Sol
Hajaonyesha ubora wake angeimba wimbo wake