pierre tall
JF-Expert Member
- Nov 5, 2013
- 4,131
- 3,505
Hii sasa ndo show ambayo unaweza lipa kiingilia ukaenda ona...live band...siyo unapiga playback
Hizi ndo show ambazo 98% ya wasanii hawaziwez kwa sababu yakubebwa na vyombo vya music...yaan unasikia sauti hapo ya hao jamaa ni sawa sawa na ile ambayo waliimba wakat wanarecord...nimeamini kwa nini wanasema kiba huwa anajua kuimba sana...hii sasa nimeamini
Hizi ndo show ambazo 98% ya wasanii hawaziwez kwa sababu yakubebwa na vyombo vya music...yaan unasikia sauti hapo ya hao jamaa ni sawa sawa na ile ambayo waliimba wakat wanarecord...nimeamini kwa nini wanasema kiba huwa anajua kuimba sana...hii sasa nimeamini