Mange ndio kasema?Akiwa mdogo alipendelea kwenda malishoni kuchunga mbuzi,
Akiwa na miaka 7 tu, aliwapeleka koondoo na mbuzi milishoni kila mifugo hao wakifika eneo moja kila siku wakaonja majani.ya mmea Sinsiminia indica wanaruka ruka juu na kupigana sana
Akaamua siku moja aonje kusikia nini hasa kipo kwa mmea ule, alivyokula alijawa furaha akaamua avune majani mengine apeleke home , bahat mbaya yalikauka akakasirika , akaamua kuyatafna hivi hivi hapo akapata stimu kali mnooo,
Akaamua kuwa anayafuata anakausha yakichelewa anayakaanga Au kubanika , akaanza kuyavuta kama sigara,
Na uo ndo ulikuwa mwanzo wa bangi. 1961
Wewe hujui zaidi ya kusoma vitabu au tafiti mbalimbali. Bangi ni mmea na hivyo basi jamii nyingi sehemu tafauti duniani zimekuwa zikiutumia kwa matumizi mbalimbali.bangi imeanza kuvutwa zaidi ya miaka 2727 BC Huko china ndio record ya harakaharaka iliyopo.
warumi,wagiriki enzi zao nao walikuwa na bangi kabla hata mimba ya Yesu kutungwa miaka mingi.
bob Marley katumia kitu kilichopo kilichojulikana hizo ni stori za kusukuma dakika mkuu.
Bangi ilikuwepo longtime kabla Bob hajui chochote.tafuta MTU anaitwa Negusta Negasta,huyu aliijua bangi kabla Bob hata ajazaliwa.Akiwa mdogo alipendelea kwenda malishoni kuchunga mbuzi,
Akiwa na miaka 7 tu, aliwapeleka koondoo na mbuzi milishoni kila mifugo hao wakifika eneo moja kila siku wakaonja majani.ya mmea Sinsiminia indica wanaruka ruka juu na kupigana sana
Akaamua siku moja aonje kusikia nini hasa kipo kwa mmea ule, alivyokula alijawa furaha akaamua avune majani mengine apeleke home , bahat mbaya yalikauka akakasirika , akaamua kuyatafna hivi hivi hapo akapata stimu kali mnooo,
Akaamua kuwa anayafuata anakausha yakichelewa anayakaanga Au kubanika , akaanza kuyavuta kama sigara,
Na uo ndo ulikuwa mwanzo wa bangi. 1961
Wiiiiii auwiiiiii jamani nimechekaMange ndio kasema?
Mpheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeew.
huyo jamaa anachanganya hiyo stori sio ya bob marley ni mfalme wa ethiopia nadhani au jamaa mmoja wa ethiopia alipogundua kahawa .Wewe hujui zaidi ya kusoma vitabu au tafiti mbalimbali. Bangi ni mmea na hivyo basi jamii nyingi sehemu tafauti duniani zimekuwa zikiutumia kwa matumizi mbalimbali.
Hata hapa Tanzania ukikaa na wazee watakueleza ni jinsi gani walipata mshtuko kusikia bangi ni haramu na ni kosa la kupelekea kufungwa jela.
Hahahaha hahaha Mange akili za chademaKama Mange ndio amesema ni sawa!
umevuta misokoto mingapi kabla ya kupost....kwel wewe kizazi cha mwendo-bangiAkiwa mdogo alipendelea kwenda malishoni kuchunga mbuzi,
Akiwa na miaka 7 tu, aliwapeleka koondoo na mbuzi milishoni kila mifugo hao wakifika eneo moja kila siku wakaonja majani.ya mmea Sinsiminia indica wanaruka ruka juu na kupigana sana
Akaamua siku moja aonje kusikia nini hasa kipo kwa mmea ule, alivyokula alijawa furaha akaamua avune majani mengine apeleke home , bahat mbaya yalikauka akakasirika , akaamua kuyatafna hivi hivi hapo akapata stimu kali mnooo,
Akaamua kuwa anayafuata anakausha yakichelewa anayakaanga Au kubanika , akaanza kuyavuta kama sigara,
Na uo ndo ulikuwa mwanzo wa bangi. 1961