venchwa
JF-Expert Member
- Aug 5, 2016
- 1,677
- 1,596
Akiwa mdogo alipendelea kwenda malishoni kuchunga mbuzi,
Akiwa na miaka 7 tu, aliwapeleka koondoo na mbuzi milishoni kila mifugo hao wakifika eneo moja kila siku wakaonja majani.ya mmea Sinsiminia indica wanaruka ruka juu na kupigana sana
Akaamua siku moja aonje kusikia nini hasa kipo kwa mmea ule, alivyokula alijawa furaha akaamua avune majani mengine apeleke home , bahat mbaya yalikauka akakasirika , akaamua kuyatafna hivi hivi hapo akapata stimu kali mnooo,
Akaamua kuwa anayafuata anakausha yakichelewa anayakaanga Au kubanika , akaanza kuyavuta kama sigara,
Na uo ndo ulikuwa mwanzo wa bangi. 1961
Akiwa na miaka 7 tu, aliwapeleka koondoo na mbuzi milishoni kila mifugo hao wakifika eneo moja kila siku wakaonja majani.ya mmea Sinsiminia indica wanaruka ruka juu na kupigana sana
Akaamua siku moja aonje kusikia nini hasa kipo kwa mmea ule, alivyokula alijawa furaha akaamua avune majani mengine apeleke home , bahat mbaya yalikauka akakasirika , akaamua kuyatafna hivi hivi hapo akapata stimu kali mnooo,
Akaamua kuwa anayafuata anakausha yakichelewa anayakaanga Au kubanika , akaanza kuyavuta kama sigara,
Na uo ndo ulikuwa mwanzo wa bangi. 1961