Hivi ndivyo Erik ten Hag anakosea, siku zake zinahesabika

Hivi ndivyo Erik ten Hag anakosea, siku zake zinahesabika

Ukimpa Guardiola hiyo timu ya Man U huenda akauza wachezaji wote akambakisha Casemiro na Onana pekee[emoji1787]
 
Ten Hag ananunua wachezaji ambao uchezaji wao ni tofauti na na aina ya soka lake kitu ambacho kinamfelisha.

Alipokuwa Ajax nyuma yake alikuwa Overmaars anajua mpira haswa na alimsaidia kuleta wachezaji bora .

Hapa United structure inamyumbisha pia hana mtu wa kumsaidia hii sekta maana hicho kitengo wamewekwa bankers akina Arnold sasa why asiyumbe.

Sema jamaa namkubali sana ila anahitaji timu yenye muundo mzuri kuanzia juu,klabuni kwetu hapo hata Guardiola anaweza kuonekana tapeli.
Ukweli ambao mashabiki wengi hawataki kuusikia
 
Hii timu ni kichomi, ukifanya uchunguzi unashindwa kuelewa ni nani hasa tatizo pale Manchester.
Meanwhile ni ten hag mkuu. Ok naelewa tunapitia changamoto za glazers ila ten hag ni shit sana
 
Back
Top Bottom