Hivi ndivyo gazeti la Mwafrika lilivyochapisha harakati za Uhuru 1959

Hivi ndivyo gazeti la Mwafrika lilivyochapisha harakati za Uhuru 1959

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
57,761
Reaction score
216,011
1632350188585.png

Little we knew that the Freedom will be for the few TANU, CCM and Afro Shirazi Party elites.
 
CCM wao miaka yote hua wanafikiria kurudi nyuma, na nadhani ccm bado inaamini Watanzania wote wako ccm au ni lazima wawe ccm hapo ndio hua wanakosea, wajitahidi kwenda na dunia iliyostaraabika inavoenda
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Fikra na Mbinu inazotumia CCM ya leo ni woga na hofu maana hata mawazo chanya juu ya ajira kwa vijana hayapo, hawawekezi kwenye mindset za wananchi bali wanaamini vitu ndio msingi kumbe ni kosa akili ndio msingi
 
Serikali ya CCM ijue inapokusanya kodi ikajenga barabara au vituo vya afya ile sio msaada au hisani maana wakiwa wanazindua miradi yao wanavoongea utahisi pesa wanatoa mifukoni mwao kumbe wao wanadhamana tu ya usimamizi wa pesa za wananchi, hata hiyo mikopo mnayoona wanakopa inalipwa na wananchi ambao ndio mabosi zao.
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Ni lazima, Ni lazima mwanachi apate barabara nzuri, maji safi na salama, afya bora, ulinzi wa mali, uhakika wa chakula, ruzuku kwenye shughuli mbalimbali, lazima pia ulinzi wa rasilimali uwepo haya mambo serikali makini lazima inatekeleza na wananchi wanahaki ya kuhoji wakati wowote ule sema ni vile watanzania wengi elimu ya uraia hawana
 
Inapoibuka hoja ya katiba hata akiibua mtu mmoja au mwananchi mmoja ni lazima uende kwa wananchi uwaulize je mnataka katiba au hamtaki tena wapige kura ya wazi, baada ya hapo mchakato unaanza kulingana na maoni ya wazi ya wananchi ya bila vitisho, Sio unakua kama mchawi yaani unaamka tu unakurupuka kuzuia makongamano ukidhani umezuia kumbe unakua unajipotezea muda mwenyewe maana unaahirisha jambo la msingi ambalo utalifanya tu mwenyewe mbeleni,
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Inapoibuka hoja ya katiba hata akiibua mtu mmoja au mwananchi mmoja ni lazima uende kwa wananchi uwaulize je mnataka katiba au hamtaki tena wapige kura ya wazi, baada ya hapo mchakato unaanza kulingana na maoni ya wazi ya wananchi ya bila vitisho, Sio unakua kama mchawi yaani unaamka tu unakurupuka kuzuia makongamano ukidhani umezuia kumbe unakua unajipotezea muda mwenyewe maana unaahirisha jambo la msingi ambalo utalifanya tu mwenyewe mbeleni,
Kura zinazosimamiwa na serikali ya CCM unaziamini? Mtaambiwa waliopiga kura tuendelee na katiba hii ni wengi zaidi ya wanao ikataa.
 
Back
Top Bottom