Hivi ndivyo hela zilivyopigwa kwenye Bohari ya Madawa

Hivi ndivyo hela zilivyopigwa kwenye Bohari ya Madawa

Anapoteza muda. Kuna mtu yoyote umesikia amewahi kuchukuliwa hatua ?

Na yeye pia tujue anakaguliwa na nani, kuna matumizi makubwa sana ya pesa kwenye ofisi ya CAG na ikulu. Ni Nani anaehusika kukagua huko

It is for public interest iwekwe wazi, ofisi ya Rais na Mkaguzi wote ni watumishi

Je sheria ya uhakiki wa Mali za umma una maeneo hawatakiwi kugusa?

Nyuzi kama hizi ni kufutilia mbali, hazina tija

Sitak kusikua ishu yoyote ya CAG , yale mandege ya JPM na Samia, ni another failure kwenye Taifa hilo la Tanzania, na hakuna waliowajibishwa, DP world ni another failure kwenye taifa, mnatafuta viofisi kama MSD visivyokuwa na mbele wala nyuma kuwashushia mzigo
Vipi umeguswa kwa namna yoyote ile?
 
Bil 20 mbona ndogo. Yale mashangingi ya Bil 190 vipi

Kuna ipigagi pia, na yale mandege ya JPM na samia vipi !

Ofisi ya CAG nayo inatumia hela sana kufanya ukaguzi usio na tija wala impact kwenye jamii. CAG imekuwa ni chombo cha habari, yeye anakaguliwa na nani ? Kuna matumizi makubwa ya hela kwenye kukamilisha kaguzi zake
Kheee...!!! Wizi ni wizi tu..!! Ingekuwa haina tija hata wewe usingeweza kujua kuwa tunapigwa..!!

BTW, ofisi ya CAG jukumu lake nikusema nani ni mwizi na nani siyo. Kutoa adhabu yoyote kwa wabadhirifu si jukumu la ofisi ya CAG. Tija unayoisema inatakiwa iletwe na polisi, mahakama, takukuru etc. CAG jukumu lake kalikamilisha kwa more than 90% if not 100%. Usisahau yeye siyo mtekelezaji wa anachoshauri kifanyike au mrekebishaji wa makosa aliyoyabaini..!! Zipo taasisi mbalimbali za kufanya hayo.
 
Kilichoandikwa kwenye heading ni Billion.

Ukisoma taarifa yenyewe ni Millioni, kipi ni sahihi wewe mleta mada.

Kaguzi za namna hii hazina Tija hata kidogo, sheria ya manunuzi ndio shida, wasilaumu hao MSD.
Soma tena pia hesabu, mashine zipo 10, kila moja wameandika ni milioni 136 wakati bei ni milioni 103 hivyo kila mashine wamepika milioni 330.

Kwahiyo wametumia bilioni 1.36 badala ya bei halisi bilioni 1.03
 
Huyu anaishia kutangaza tu kilichopigwa na kuliwa 😄
Wachukua hatua kimya

Ova
 
Back
Top Bottom