Ndalilo JF-Expert Member Joined Jan 30, 2013 Posts 3,343 Reaction score 7,516 Nov 2, 2021 #41 Sky Eclat said: Na hatari inakuwa pale asipojua kuwa ana tatizo. Click to expand... Na pale ambapo inakuwa ngumu kukubali kuwa pengine kuna yaliyomwagwa mwanzoni yakatengeneza ulinzi usioruhusu mamwago mengine yafurukute! Wanasema waache kuruka ruka ovyo, tatizo ni kubwa sana siku hizi na hasa kwa -ke. Hata hivyo sikuelewa walichosema
Sky Eclat said: Na hatari inakuwa pale asipojua kuwa ana tatizo. Click to expand... Na pale ambapo inakuwa ngumu kukubali kuwa pengine kuna yaliyomwagwa mwanzoni yakatengeneza ulinzi usioruhusu mamwago mengine yafurukute! Wanasema waache kuruka ruka ovyo, tatizo ni kubwa sana siku hizi na hasa kwa -ke. Hata hivyo sikuelewa walichosema
awamuyetu JF-Expert Member Joined Apr 9, 2017 Posts 327 Reaction score 164 Nov 4, 2021 #42 Unajuaje kwamba leo mimba imeingia? Kuna kiashirio gani kwani na mie nijuwe... [emoji848] Sent from my M2101K6G using JamiiForums mobile app
Unajuaje kwamba leo mimba imeingia? Kuna kiashirio gani kwani na mie nijuwe... [emoji848] Sent from my M2101K6G using JamiiForums mobile app