Hivi ndivyo itakavyokuwa baada ya Man City kuzuiwa kushiriki michuano ya UEFA

Gurdiolar abaki man city tuone uwezo wake wa kutengeneza kikosi bila usajili ghali kama pochetino,klop!!!
 
Mtoa mada unayo shida kidogo; mfano Chelsea imefanya usajili wa Pulsic ; Morata na Kepa kwa pesa nyingi. Kwasasa timu haina wachezaji wanolipwa pesa nyingi mpaka izuie timu kubalance mapato au umeiweka kwasababu ya ushabiki?
Chelsea ndo timu kwa epl iliyotengeneza pesa kubwa kwa kuuza wachezaji kwa msimu huu kuliko timu zote.

Swali lako imejikita kwa Man U kutengeneza pesa kwa brand ya club lakini kama timu haifanyi vizuri amna mchezaji anaejitambua na kutaka mafanikio yake aje achezee Man U kisa club ipate faida ila yenyewe isivune mafanikio.
 
Mara nyingine muwe na heshima na haki za wenzenu. Yeye Guardiaola ni Mkatalonia, kwa hiyo anapozungumzia Catalonia kujitenga si kushabikia, bali ni kujitetea matakwa yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…