Huyo mwl. mnae mlaumu kua amefelisha mnataka afanyaje kama anapokea mwanafunzi alie maliza drs la7 kwa kuanza kidato cha kwanza akiwa hajui kusoma wala kuandika. Mwl. huyo afanye kazi ngapi?
Shule za msingi walifuta baadhi ya masomo nakuanzisha somo jipya la TEHAMA, walimu wakufundisha somo hilo hawakuweko unategemea nin hapo?
Shule za msingi walifuta baadhi ya masomo nakuanzisha somo jipya la TEHAMA, walimu wakufundisha somo hilo hawakuweko unategemea nin hapo?