Changamoto kweli ni kubwa na nyigi pia maana hata hivyo sikutegemea sana kilimo kwa 100%, nishawahi kulimi mwaka mmoja ndegu nakumbuka zilikubwa na mafuriko,
lakn miaka ambayo nilipata mavuno nilijitahidi kuyahifadhi kwa kusubiri bei. ikubukwe sikuwa na majukumu ya kifamilia vile vile nilikuwanga na tabia kila nikamilaza kuvuna naenda dar es salaam kutafuta vibarua, nishawahi, kubeba zenge, kulima maeneo ya kimbiji, dege n.k pia nishawahi kusafiri na meli kwenda moroco tukipeleka ng'ombe yote hayo nikutafuta hela na kuacha kutegemea mavuno kwa 100%