Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa kama wewe tu upo tofauti why ufikirie hao wengine watakua na sura hiyo?
Powa kaka mkubwa, ila sorry kwa kuianika picha yako hadharaniWacha ugoro mara moja
@financial services believe me wana sura kama ya huyo mshkajiSasa kama wewe tu upo tofauti why ufikirie hao wengine watakua na sura hiyo?
Mmh hawafanani bana mi nawafahamu sasa, si kama wewe una imaginations tu 😛
Fikra zang mara nying zinakuwaga sahih,Mmh hawafanani bana mi nawafahamu sasa, si kama wewe una imaginations tu [emoji14]
Hiz ni jokes zenye ukweli mkuuHahaha dah umeua, ila pia umepost kwenye jokes..hopeful una visa na huyo mshikaji
Amesema kwa jinsia ya MESasa kama wewe tu upo tofauti why ufikirie hao wengine watakua na sura hiyo?
Wewe jinsia ya "ke" usijari ngoja nifikirie nitakupa muongoz na weweAmesema kwa jinsia ya ME
Fikra zangu zinaniambia jamiiforums wote kwa upande wa "me" wana sura ya huyu mshkajiView attachment 1867922
Sent using Jamii Forums mobile app
we upo upande gani? wa me au wa ke?