Kutoka kwa Daktari wa wanyama nchini Tanzania, Dkt. Obed Kiariro amedai kuna uwezekano mkubwa wa Paka anayefugwa majumbani kupelekea kuharibu ujauzito kwa binadamu endapo mnyama huyo hatopewa matunzo mazuri yanayostahili kwa wakati.
Paka especially paka wenye hali ngumu ya maisha anaekula mpaka nzi,mijusi na wadudu wengine ni hatari kwani anabeba vimelea vya ugonjwa vya Toxoplasmosi ambavyo husababisha mimba kuharibika endapo mama mjamzito atavipata
Fukuza Paka wote nyumbani kama huwezi kuwatunza kwa usalama wa mama kijacho
[HASHTAG]#biologicalcontrolremaincostant[/HASHTAG]