Hivi ndivyo paka anavyoweza kusababisha mimba kutoka

Hivi ndivyo paka anavyoweza kusababisha mimba kutoka

maelezo mafupi sana haya.... Angeeleza kuhusu chanjo, tiba na namna ugonjwa unaambukiza..... ALIYELETA MADA HAKUJIPANGA.
 
Yawezekana kweli, jirani yangu ana paka mkondefu una ona kinyaa hata kumuangalia na mwezi umepita sasa bint yake mimba iliharibika.
 
Du sawa bwana
images
Huyu paka au jini?
 
Kutoka kwa Daktari wa wanyama nchini Tanzania, Dkt. Obed Kiariro amedai kuna uwezekano mkubwa wa Paka anayefugwa majumbani kupelekea kuharibu ujauzito kwa binadamu endapo mnyama huyo hatopewa matunzo mazuri yanayostahili kwa wakati.

Paka especially paka wenye hali ngumu ya maisha anaekula mpaka nzi,mijusi na wadudu wengine ni hatari kwani anabeba vimelea vya ugonjwa vya Toxoplasmosi ambavyo husababisha mimba kuharibika endapo mama mjamzito atavipata


Fukuza Paka wote nyumbani kama huwezi kuwatunza kwa usalama wa mama kijacho
[HASHTAG]#biologicalcontrolremaincostant[/HASHTAG]
 
Back
Top Bottom