Igweee! CCM ndio chama lao full jasusi kukitetea chama na kamwe hawajashindwa. Hii Ramani ndio ya mchezo mzima plz do not ask me more question.
Baada watoto wa vigogo kuingia ulingoni na kuusaka urais CCM, kama kawa wanatengeneza mpango wa kufanya kazi kuwa rahisi kama sio lahisi.
Watoto wa mibuyu miwili watakatwa ila mmoja anajua atakatwa maana hata form kuchukua anajua why alichukua.
Huyu anayejua ndie next Rais wa Jamuhuri ya Muungano after Magufuli 2025. If not atakuwa ndio makamo wa Rais anaandaliwa na anazidi andaliwa huyo mwingine ambaye anaamini atakuwa mkuu wa Taifa la Zanzibar atakatwa pia japo atapovuka sana ila atatulia, wanafamilia watampooza bora yasheee.
Ila kichwa kinapelekwa pale ni Prof na huo ndio mpango. Sitaji jina kama unajuwa siasa fuatilia huo ndio utabiri wangu 2020
Kwaheri.
Baada watoto wa vigogo kuingia ulingoni na kuusaka urais CCM, kama kawa wanatengeneza mpango wa kufanya kazi kuwa rahisi kama sio lahisi.
Watoto wa mibuyu miwili watakatwa ila mmoja anajua atakatwa maana hata form kuchukua anajua why alichukua.
Huyu anayejua ndie next Rais wa Jamuhuri ya Muungano after Magufuli 2025. If not atakuwa ndio makamo wa Rais anaandaliwa na anazidi andaliwa huyo mwingine ambaye anaamini atakuwa mkuu wa Taifa la Zanzibar atakatwa pia japo atapovuka sana ila atatulia, wanafamilia watampooza bora yasheee.
Ila kichwa kinapelekwa pale ni Prof na huo ndio mpango. Sitaji jina kama unajuwa siasa fuatilia huo ndio utabiri wangu 2020
Kwaheri.