Zanzibar 2020 Hivi ndivyo picha Zanzibar CCM Urais itachezwa

Zanzibar 2020 Hivi ndivyo picha Zanzibar CCM Urais itachezwa

Hapa mbona mnajichanganya nyie! Mnazungumzia Rais wa Zanzibar au wagombea wa Urais Zanzibar?
Maana Rais inajulikana wazi kuwa safari hii ni Seif Sharif Hamad almaarufu Maalim.
Sio kirahisi lakini itakuwa hivyo maana dunia ya kukubali wizi imeshaisha. Wizi wa kura kina JK, Mkapa na Mwinyi waliiba kisayansi ya siasa na ulaghai huku wakitoa maneno matamu wakafanikiwa.
Wizi huu wa Magu ni mabavu na uporaji kwa ubabe na vitisho. Mbinu hiyo haiwezi kufaulu dunia ya sasa.
Kama mnaamini Wazenji ni mdebwedo jaribuni muone!
Maalim kashazoea kupoteza chaguzi, na huu utakuwa ni muendelezo tu kama vipindi vilivyopita
 
Hapa mbona mnajichanganya nyie! Mnazungumzia Rais wa Zanzibar au wagombea wa Urais Zanzibar?
Maana Rais inajulikana wazi kuwa safari hii ni Seif Sharif Hamad almaarufu Maalim.
Sio kirahisi lakini itakuwa hivyo maana dunia ya kukubali wizi imeshaisha. Wizi wa kura kina JK, Mkapa na Mwinyi waliiba kisayansi ya siasa na ulaghai huku wakitoa maneno matamu wakafanikiwa.
Wizi huu wa Magu ni mabavu na uporaji kwa ubabe na vitisho. Mbinu hiyo haiwezi kufaulu dunia ya sasa.
Kama mnaamini Wazenji ni mdebwedo jaribuni muone!
Hv jecha bado yupo!!?
 
Igweee! CCM ndio chama lao full jasusi kukitetea chama na kamwe hawajashindwa. Hii Ramani ndio ya mchezo mzima plz do not ask me more question.

Baada watoto wa vigogo kuingia ulingoni na kuusaka urais CCM, kama kawa wanatengeneza mpango wa kufanya kazi kuwa rahisi kama sio lahisi.

Watoto wa mibuyu miwili watakatwa ila mmoja anajua atakatwa maana hata form kuchukua anajua why alichukua.

Huyu anayejua ndie next Rais wa Jamuhuri ya Muungano after Magufuli 2025. If not atakuwa ndio makamo wa Rais anaandaliwa na anazidi andaliwa huyo mwingine ambaye anaamini atakuwa mkuu wa Taifa la Zanzibar atakatwa pia japo atapovuka sana ila atatulia, wanafamilia watampooza bora yasheee.

Ila kichwa kinapelekwa pale ni Prof na huo ndio mpango. Sitaji jina kama unajuwa siasa fuatilia huo ndio utabiri wangu 2020

Kwaheri.
Semeni mgombea wa ccm stupid nyie! Sio Rais ajae
 
Rais wa Zanzibar safari hii ni Maalim Seif. Mwaka huu ni mwisho wa vya kunyonga. Mpeni haki yake Maalim. Tumechoka na uongozi wa kuiba. Ndio maana nchi haibarikiwi kwa viongozi wa kuiba. Tangu 1995 ni wizi tu Zanzibar.
 
Mara ooh! Hussein kaandaliwa kumrithi shein

Mara ooh! Mbarawa kaandaliwa kumrithi jpm

Mara ooh! Kassim kaandaliwa kumpokea kijiti jpm

Blaah! Blaah! Kibao....

SWALI

Nani anawaandaa na wanaandaliwa wapi ili nami niende nikaandaliwe nije kumpokeza naniliu kijiti?
 
Igweee! CCM ndio chama lao full jasusi kukitetea chama na kamwe hawajashindwa. Hii Ramani ndio ya mchezo mzima plz do not ask me more question.

Baada watoto wa vigogo kuingia ulingoni na kuusaka urais CCM, kama kawa wanatengeneza mpango wa kufanya kazi kuwa rahisi kama sio lahisi.

Watoto wa mibuyu miwili watakatwa ila mmoja anajua atakatwa maana hata form kuchukua anajua why alichukua.

Huyu anayejua ndie next Rais wa Jamuhuri ya Muungano after Magufuli 2025. If not atakuwa ndio makamo wa Rais anaandaliwa na anazidi andaliwa huyo mwingine ambaye anaamini atakuwa mkuu wa Taifa la Zanzibar atakatwa pia japo atapovuka sana ila atatulia, wanafamilia watampooza bora yasheee.

Ila kichwa kinapelekwa pale ni Prof na huo ndio mpango. Sitaji jina kama unajuwa siasa fuatilia huo ndio utabiri wangu 2020

Kwaheri.
porojo tupu !
 
Igweee! CCM ndio chama lao full jasusi kukitetea chama na kamwe hawajashindwa. Hii Ramani ndio ya mchezo mzima plz do not ask me more question.

Baada watoto wa vigogo kuingia ulingoni na kuusaka urais CCM, kama kawa wanatengeneza mpango wa kufanya kazi kuwa rahisi kama sio lahisi.

Watoto wa mibuyu miwili watakatwa ila mmoja anajua atakatwa maana hata form kuchukua anajua why alichukua.

Huyu anayejua ndie next Rais wa Jamuhuri ya Muungano after Magufuli 2025. If not atakuwa ndio makamo wa Rais anaandaliwa na anazidi andaliwa huyo mwingine ambaye anaamini atakuwa mkuu wa Taifa la Zanzibar atakatwa pia japo atapovuka sana ila atatulia, wanafamilia watampooza bora yasheee.

Ila kichwa kinapelekwa pale ni Prof na huo ndio mpango. Sitaji jina kama unajuwa siasa fuatilia huo ndio utabiri wangu 2020

Kwaheri.
Wash out
 
Igweee! CCM ndio chama lao full jasusi kukitetea chama na kamwe hawajashindwa. Hii Ramani ndio ya mchezo mzima plz do not ask me more question.

Baada watoto wa vigogo kuingia ulingoni na kuusaka urais CCM, kama kawa wanatengeneza mpango wa kufanya kazi kuwa rahisi kama sio lahisi.

Watoto wa mibuyu miwili watakatwa ila mmoja anajua atakatwa maana hata form kuchukua anajua why alichukua.

Huyu anayejua ndie next Rais wa Jamuhuri ya Muungano after Magufuli 2025. If not atakuwa ndio makamo wa Rais anaandaliwa na anazidi andaliwa huyo mwingine ambaye anaamini atakuwa mkuu wa Taifa la Zanzibar atakatwa pia japo atapovuka sana ila atatulia, wanafamilia watampooza bora yasheee.

Ila kichwa kinapelekwa pale ni Prof na huo ndio mpango. Sitaji jina kama unajuwa siasa fuatilia huo ndio utabiri wangu 2020

Kwaheri.
hakuna jipya
 
DK.HUSEIN Mwinyi amechukua fomu kijasusi ili akatwe pamoja na mtoto wa karume!ili prof makame mbarawa aule!!halafu mwinyi junior ni raisi ajae 2025!!Huyo wa karume atapozwa kifamilia zaidi!!!
Yaani mwaka 2025 unamtaja mtu kuwa rais? Huo mkataba waliowekeana na Mungu umeuona? Tuwekee basi hapa JF
 
Igweee! CCM ndio chama lao full jasusi kukitetea chama na kamwe hawajashindwa. Hii Ramani ndio ya mchezo mzima plz do not ask me more question.

Baada watoto wa vigogo kuingia ulingoni na kuusaka urais CCM, kama kawa wanatengeneza mpango wa kufanya kazi kuwa rahisi kama sio lahisi.

Watoto wa mibuyu miwili watakatwa ila mmoja anajua atakatwa maana hata form kuchukua anajua why alichukua.

Huyu anayejua ndie next Rais wa Jamuhuri ya Muungano after Magufuli 2025. If not atakuwa ndio makamo wa Rais anaandaliwa na anazidi andaliwa huyo mwingine ambaye anaamini atakuwa mkuu wa Taifa la Zanzibar atakatwa pia japo atapovuka sana ila atatulia, wanafamilia watampooza bora yasheee.

Ila kichwa kinapelekwa pale ni Prof na huo ndio mpango. Sitaji jina kama unajuwa siasa fuatilia huo ndio utabiri wangu 2020

Kwaheri.
Igweee! CCM ndio chama lao full jasusi kukitetea chama na kamwe hawajashindwa. Hii Ramani ndio ya mchezo mzima plz do not ask me more question.

Baada watoto wa vigogo kuingia ulingoni na kuusaka urais CCM, kama kawa wanatengeneza mpango wa kufanya kazi kuwa rahisi kama sio lahisi.

Watoto wa mibuyu miwili watakatwa ila mmoja anajua atakatwa maana hata form kuchukua anajua why alichukua.

Huyu anayejua ndie next Rais wa Jamuhuri ya Muungano after Magufuli 2025. If not atakuwa ndio makamo wa Rais anaandaliwa na anazidi andaliwa huyo mwingine ambaye anaamini atakuwa mkuu wa Taifa la Zanzibar atakatwa pia japo atapovuka sana ila atatulia, wanafamilia watampooza bora yasheee.

Ila kichwa kinapelekwa pale ni Prof na huo ndio mpango. Sitaji jina kama unajuwa siasa fuatilia huo ndio utabiri wangu 2020

Kwaheri.
Makame Mbarawa au profesa yupi
 
Back
Top Bottom