coscated
JF-Expert Member
- Nov 17, 2010
- 3,264
- 2,676
Alivyotoka Mkapa alifuata mzenji?Sasa si wanasema kwa utamaduni wao lazima anayefuata atoke Zanzibar, Majaliwa si wa bara
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alivyotoka Mkapa alifuata mzenji?Sasa si wanasema kwa utamaduni wao lazima anayefuata atoke Zanzibar, Majaliwa si wa bara
Original copy ipo moja tu.....Mkuu Tumain Eli vp nasikia membe yupo Dom anaisaka fomu ya Uraisi!!!ni kweli???
Maalim kashazoea kupoteza chaguzi, na huu utakuwa ni muendelezo tu kama vipindi vilivyopitaHapa mbona mnajichanganya nyie! Mnazungumzia Rais wa Zanzibar au wagombea wa Urais Zanzibar?
Maana Rais inajulikana wazi kuwa safari hii ni Seif Sharif Hamad almaarufu Maalim.
Sio kirahisi lakini itakuwa hivyo maana dunia ya kukubali wizi imeshaisha. Wizi wa kura kina JK, Mkapa na Mwinyi waliiba kisayansi ya siasa na ulaghai huku wakitoa maneno matamu wakafanikiwa.
Wizi huu wa Magu ni mabavu na uporaji kwa ubabe na vitisho. Mbinu hiyo haiwezi kufaulu dunia ya sasa.
Kama mnaamini Wazenji ni mdebwedo jaribuni muone!
Hv jecha bado yupo!!?Hapa mbona mnajichanganya nyie! Mnazungumzia Rais wa Zanzibar au wagombea wa Urais Zanzibar?
Maana Rais inajulikana wazi kuwa safari hii ni Seif Sharif Hamad almaarufu Maalim.
Sio kirahisi lakini itakuwa hivyo maana dunia ya kukubali wizi imeshaisha. Wizi wa kura kina JK, Mkapa na Mwinyi waliiba kisayansi ya siasa na ulaghai huku wakitoa maneno matamu wakafanikiwa.
Wizi huu wa Magu ni mabavu na uporaji kwa ubabe na vitisho. Mbinu hiyo haiwezi kufaulu dunia ya sasa.
Kama mnaamini Wazenji ni mdebwedo jaribuni muone!
Kwani Kikwete ni wa Zanzibar?Sasa si wanasema kwa utamaduni wao lazima anayefuata atoke Zanzibar, Majaliwa si wa bara
Semeni mgombea wa ccm stupid nyie! Sio Rais ajaeIgweee! CCM ndio chama lao full jasusi kukitetea chama na kamwe hawajashindwa. Hii Ramani ndio ya mchezo mzima plz do not ask me more question.
Baada watoto wa vigogo kuingia ulingoni na kuusaka urais CCM, kama kawa wanatengeneza mpango wa kufanya kazi kuwa rahisi kama sio lahisi.
Watoto wa mibuyu miwili watakatwa ila mmoja anajua atakatwa maana hata form kuchukua anajua why alichukua.
Huyu anayejua ndie next Rais wa Jamuhuri ya Muungano after Magufuli 2025. If not atakuwa ndio makamo wa Rais anaandaliwa na anazidi andaliwa huyo mwingine ambaye anaamini atakuwa mkuu wa Taifa la Zanzibar atakatwa pia japo atapovuka sana ila atatulia, wanafamilia watampooza bora yasheee.
Ila kichwa kinapelekwa pale ni Prof na huo ndio mpango. Sitaji jina kama unajuwa siasa fuatilia huo ndio utabiri wangu 2020
Kwaheri.
MbaraaagaTutajie jina mafumbo ya nini?
porojo tupu !Igweee! CCM ndio chama lao full jasusi kukitetea chama na kamwe hawajashindwa. Hii Ramani ndio ya mchezo mzima plz do not ask me more question.
Baada watoto wa vigogo kuingia ulingoni na kuusaka urais CCM, kama kawa wanatengeneza mpango wa kufanya kazi kuwa rahisi kama sio lahisi.
Watoto wa mibuyu miwili watakatwa ila mmoja anajua atakatwa maana hata form kuchukua anajua why alichukua.
Huyu anayejua ndie next Rais wa Jamuhuri ya Muungano after Magufuli 2025. If not atakuwa ndio makamo wa Rais anaandaliwa na anazidi andaliwa huyo mwingine ambaye anaamini atakuwa mkuu wa Taifa la Zanzibar atakatwa pia japo atapovuka sana ila atatulia, wanafamilia watampooza bora yasheee.
Ila kichwa kinapelekwa pale ni Prof na huo ndio mpango. Sitaji jina kama unajuwa siasa fuatilia huo ndio utabiri wangu 2020
Kwaheri.
Wash outIgweee! CCM ndio chama lao full jasusi kukitetea chama na kamwe hawajashindwa. Hii Ramani ndio ya mchezo mzima plz do not ask me more question.
Baada watoto wa vigogo kuingia ulingoni na kuusaka urais CCM, kama kawa wanatengeneza mpango wa kufanya kazi kuwa rahisi kama sio lahisi.
Watoto wa mibuyu miwili watakatwa ila mmoja anajua atakatwa maana hata form kuchukua anajua why alichukua.
Huyu anayejua ndie next Rais wa Jamuhuri ya Muungano after Magufuli 2025. If not atakuwa ndio makamo wa Rais anaandaliwa na anazidi andaliwa huyo mwingine ambaye anaamini atakuwa mkuu wa Taifa la Zanzibar atakatwa pia japo atapovuka sana ila atatulia, wanafamilia watampooza bora yasheee.
Ila kichwa kinapelekwa pale ni Prof na huo ndio mpango. Sitaji jina kama unajuwa siasa fuatilia huo ndio utabiri wangu 2020
Kwaheri.
hakuna jipyaIgweee! CCM ndio chama lao full jasusi kukitetea chama na kamwe hawajashindwa. Hii Ramani ndio ya mchezo mzima plz do not ask me more question.
Baada watoto wa vigogo kuingia ulingoni na kuusaka urais CCM, kama kawa wanatengeneza mpango wa kufanya kazi kuwa rahisi kama sio lahisi.
Watoto wa mibuyu miwili watakatwa ila mmoja anajua atakatwa maana hata form kuchukua anajua why alichukua.
Huyu anayejua ndie next Rais wa Jamuhuri ya Muungano after Magufuli 2025. If not atakuwa ndio makamo wa Rais anaandaliwa na anazidi andaliwa huyo mwingine ambaye anaamini atakuwa mkuu wa Taifa la Zanzibar atakatwa pia japo atapovuka sana ila atatulia, wanafamilia watampooza bora yasheee.
Ila kichwa kinapelekwa pale ni Prof na huo ndio mpango. Sitaji jina kama unajuwa siasa fuatilia huo ndio utabiri wangu 2020
Kwaheri.
MbarawaTutajie jina mafumbo ya nini?
Yaani mwaka 2025 unamtaja mtu kuwa rais? Huo mkataba waliowekeana na Mungu umeuona? Tuwekee basi hapa JFDK.HUSEIN Mwinyi amechukua fomu kijasusi ili akatwe pamoja na mtoto wa karume!ili prof makame mbarawa aule!!halafu mwinyi junior ni raisi ajae 2025!!Huyo wa karume atapozwa kifamilia zaidi!!!
Igweee! CCM ndio chama lao full jasusi kukitetea chama na kamwe hawajashindwa. Hii Ramani ndio ya mchezo mzima plz do not ask me more question.
Baada watoto wa vigogo kuingia ulingoni na kuusaka urais CCM, kama kawa wanatengeneza mpango wa kufanya kazi kuwa rahisi kama sio lahisi.
Watoto wa mibuyu miwili watakatwa ila mmoja anajua atakatwa maana hata form kuchukua anajua why alichukua.
Huyu anayejua ndie next Rais wa Jamuhuri ya Muungano after Magufuli 2025. If not atakuwa ndio makamo wa Rais anaandaliwa na anazidi andaliwa huyo mwingine ambaye anaamini atakuwa mkuu wa Taifa la Zanzibar atakatwa pia japo atapovuka sana ila atatulia, wanafamilia watampooza bora yasheee.
Ila kichwa kinapelekwa pale ni Prof na huo ndio mpango. Sitaji jina kama unajuwa siasa fuatilia huo ndio utabiri wangu 2020
Kwaheri.
Makame Mbarawa au profesa yupiIgweee! CCM ndio chama lao full jasusi kukitetea chama na kamwe hawajashindwa. Hii Ramani ndio ya mchezo mzima plz do not ask me more question.
Baada watoto wa vigogo kuingia ulingoni na kuusaka urais CCM, kama kawa wanatengeneza mpango wa kufanya kazi kuwa rahisi kama sio lahisi.
Watoto wa mibuyu miwili watakatwa ila mmoja anajua atakatwa maana hata form kuchukua anajua why alichukua.
Huyu anayejua ndie next Rais wa Jamuhuri ya Muungano after Magufuli 2025. If not atakuwa ndio makamo wa Rais anaandaliwa na anazidi andaliwa huyo mwingine ambaye anaamini atakuwa mkuu wa Taifa la Zanzibar atakatwa pia japo atapovuka sana ila atatulia, wanafamilia watampooza bora yasheee.
Ila kichwa kinapelekwa pale ni Prof na huo ndio mpango. Sitaji jina kama unajuwa siasa fuatilia huo ndio utabiri wangu 2020
Kwaheri.