Zanzibar 2020 Hivi ndivyo picha Zanzibar CCM Urais itachezwa

DK.HUSEIN Mwinyi amechukua fomu kijasusi ili akatwe pamoja na mtoto wa karume!ili prof makame mbarawa aule!!halafu mwinyi junior ni raisi ajae 2025! Huyo wa karume atapozwa kifamilia zaidi!!!

Mwinyi atagombania bara na pwani? Yeye ni mbara au m Znz?
 
Rais wa 2025 ni Kassimu Majaliwa na kama ulivyo utamaduni wetu nadhani wenzetu wa dini fulani watakuwa wameridhika!

Hata wadini fulani baadae nao watakua na mtu wao au hujui !
 
Jenerali hakuna mwengine, Mara hii full dictatorship, mtaumizwa hadi wazanzibari watakimbia
 
Hussein hawezi kuwa rais JMT
 
Hapa mbona mnajichanganya nyie! Mnazungumzia Rais wa Zanzibar au wagombea wa Urais Zanzibar?
Maana Rais inajulikana wazi kuwa safari hii ni Seif Sharif Hamad almaarufu Maalim.
Sio kirahisi lakini itakuwa hivyo maana dunia ya kukubali wizi imeshaisha. Wizi wa kura kina JK, Mkapa na Mwinyi waliiba kisayansi ya siasa na ulaghai huku wakitoa maneno matamu wakafanikiwa.
Wizi huu wa Magu ni mabavu na uporaji kwa ubabe na vitisho. Mbinu hiyo haiwezi kufaulu dunia ya sasa.
Kama mnaamini Wazenji ni mdebwedo jaribuni muone!
 

Ataweza kweli safari hii kushindana na hila za Warithi wa Jecha?
 
UTABIRI WANGU: Kama prof. Mbarawa atapita na kuchaguliwa kuwa Rais wa Zanzibar, basi 2025 huenda akachukua fomu ya kugombea u Rais wa Tanzania, na iwapo atafanikiwa kuwa Rais, basi ile katiba ya Judge Warioba italetwa mezani, kwani kama Taifa tutakuwa tumejifunza mengi, kwa mfano, madaraka makubwa aliyonayo Rais na jinsi ya kuyapunguza, na jinsi ya kudhibiti uvunjwaji wa wazi wazi wa katiba na kiongozi anayekuwepo madarakani.
 
DK.HUSEIN Mwinyi amechukua fomu kijasusi ili akatwe pamoja na mtoto wa karume!ili prof makame mbarawa aule!!halafu mwinyi junior ni raisi ajae 2025!!Huyo wa karume atapozwa kifamilia zaidi!!!
Haswaaa! Nchi ina wenyewe hii,japokuwa 2025 ni mbali wakati unaweza ukaamua vinginevyo vyovyote, ila nafasi ya ulichoandika kutimia ni kubwa.
 
kumbe ni utabiri..... basi sawa!
 
Majaliwa hawezi kuwa raisi ajae!!!mawaziri wakuu ni raisi wa tanganyika na amewekewa kinga ya kutoshtakiwa hawezi kuwa mara mbili tena!!!
Katiba ipi inasema kwamba waziri mkuu ni rais wa Tanganyika ?
 
Anataka kujisifu kama ule uzi uliiandikwa tangu mwaka 2012 ukitabiri rais ajaye na ikawa hivo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Useless
 
Mchezo unaisha hivi!

Hussen Mwinyi ndie atapeperusha bendera ya CCM kwa SMZ 2020.
Prof. Makame anaandaliwa kwa 2025 Jamhuri ya Muungano Tanzania baada ya Magufuli. (Atakuwa Kama kivuli tu cha JPM)
Mbona kama profesa amepoa ataharibu kasi aliyoiacha mzee baba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…