Hivi ndivyo rais wa kwanza wa Zanzibar Mh. Abeid Karume alivyouawa

Cc: Mohammed said

Njoo huku mwangalie nduguyo akidhalilisha fani ya uandishi.
 
Umejuaje kama aliwaona wanajeshi kwa mbaaaali..... hahahah dah!!
pengine kabla ya pyuu pyuu alisema hao wanajeshi wanaenda wapi wenzake wakajibu wako wapi, fumba na kufumbua risasi hizooo
 
huyu jamaa kaandika vitu vinginevingine alichotakiwa kutuambia kachemsha
 

asutulishe tango pori kwa kusimamia sehemu moja tuu ili uwafurahishe waleee,andika uzi huu bila uoga
 
Ulikua na story nzuri ila umeiwakilisha kama tupo kwenye kijiwe cha kahawa! Mfano; unasema Karume aliona wanajeshi wanakuja du? We umejuaje kama aliona wakati karume ameshakufa? Je kabla ya kufa alihojiwa ndio akasema aliwaona wanakuja? Yan umeeleza kama vile Karume alikua mtu wa kawaida, tulitegemea utueleze kwa kirefu.
Siku nyingine ukiwa na story nzuri ujipange, sio nunaandika kama mtoto wa darasa la 2B
 
Hakuna unachokijua kuhusu mapinduzi wala kifo cha karume you better shut up! instead of visualising the nudity of your brain!
 
Umenipotezea nyege zangu za kusoma "shwaini''
 

Mtoa uzi amezingua...angesoma historia na kujiridhisha kwa utafiti....Hayati Karume hakuuawa akiwa ikulu. Aliuawa wakati akicheza bao na Sheikh Thabit Kombo akiwa makao makuu wa ASP Kisiwandui, na Sheikh Kombo kujeruhiwa vibaya na shambulio hilo la mwanajeshi.
 
Next time usome zaidi historia ya Zanzibar wakati wa Karume ni hayo tu.
 
Kiufupi yale ya 1964 yalikuwa ni mavamizi ya majeshi ya tanganyika kuivamia zanzibar, na kifo chake huyo karume kimetokana na kupinga ukoloni wa tanganyika zidi ya zanzibar na Mr X ndie mratibu wa mauaji ya rais karume.
 
Kiufupi yale ya 1964 yalikuwa ni mavamizi ya majeshi ya tanganyika kuivamia zanzibar, na kifo chake huyo karume kimetokana na kupinga ukoloni wa tanganyika zidi ya zanzibar na Mr X ndie mratibu wa mauaji ya rais karume.
 
Kuwa mwana historia sio Sawa na kuuza karanga ( njugumawe) Lakin si hilotuu, kupotoshahistoria ni kosakubwa, kubwa hata kuliko ubakaji. Mi nashauri huyu mtu aliyeandika hii Habari ya Karume atafutwe alambwe viboko hamsa matakoni.
 
Hivi ndivyo alijibu swali la darasa la saba lililouliza "Elezea unavyoyafahamu mapinduzi ya Zanzibar"
 
Ungerekebsha kchwa cha habr. Hakiendani na mada.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…