Hivi ndivyo taifa langu litaweza kutokomeza ushoga taratibu

Hivi ndivyo taifa langu litaweza kutokomeza ushoga taratibu

Samico Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Feb 6, 2022
Posts
486
Reaction score
1,237
Habari wapendwa!

Leo naomba kuwapeni tafakari kuhusu ushoga halafu nyinyi kama wataalam mtaona namna ya kuliweka kisomi.

Utaratibu wa kuwatahiri watoto wakiwa wachanga ni moja ya pigo kubwa sana linalochangia kuondoa uvumilivu katika nafsi ya mtu.

Iko hivi ujasiri ni mbegu inayopandwa na udhaifu ni mbegu inayopandwa!

Ingekuwa amri yangu ningepiga marufuku watoto wa kiume kutahiriwa kabla ya miaka 4.

Watoto wanapotahiliwa kuanzia umri huo na kuendelea huwa inawaongea sana (ulijali) ujasiri na uvumilivu katika maisha yao yote!

Ni vigumu sana watoto waliotahiliwa ukubwani kuja kuwa mabwabwa!
Hata wakibakwa kwa bahati mbaya lazima watadta matibabu ya kusafishwa ili wasiendelee na huo mchezo!

Lakini kuwatahili watoto wakiwa wachanga kwa maoni yangu! Wakifika ukubwanj ile roho ya ulijali inakuwa dhaifu sana kwao!

Bahati mbaya sana siku hizi mazoezi hayo yanasimamiwa na mama zao peke yao! Wazazi wa kiume mnawaachia jukumu hilo kina mama!

Kusema ukweli Ile roho ya ulijali ina milango ya kuingia! Moja ya mlango mhimu sana ni kupitia tohara, anaefanyiwa aone!

Msifikiri mababu wa kale walikurupuka! Sipingi njia za kizungu bali naomba wakati zinapotumika angalau mtoto awe anajitambua.

Mwanaume aliyetahiliwa ukubwani ana nafasi kubwa sana kuvumilia mikikimikiki katika kulinda uanaume wake
 
Habari wapendwa!

Leo naomba kuwapeni tafakari kuhusu ushoga halafu nyinyi kama wataalam mtaona namna ya kuliweka kisomi.

Utaratibu wa kuwatahiri watoto wakiwa wachanga ni moja ya pigo kubwa sana linalochangia kuondoa uvumilivu katika nafsi ya mtu.

Iko hivi ujasiri ni mbegu inayopandwa na udhaifu ni mbegu inayopandwa!

Ingekuwa amri yangu ningepiga marufuku watoto wa kiume kutahiriwa kabla ya miaka 4.

Watoto wanapotahiliwa kuanzia umri huo na kuendelea huwa inawaongea sana (ulijali) ujasiri na uvumilivu katika maisha yao yote!

Ni vigumu sana watoto waliotahiliwa ukubwani kuja kuwa mabwabwa!
Hata wakibakwa kwa bahati mbaya lazima watadta matibabu ya kusafishwa ili wasiendelee na huo mchezo!

Lakini kuwatahili watoto wakiwa wachanga kwa maoni yangu! Wakifika ukubwanj ile roho ya ulijali inakuwa dhaifu sana kwao!

Bahati mbaya sana siku hizi mazoezi hayo yanasimamiwa na mama zao peke yao! Wazazi wa kiume mnawaachia jukumu hilo kina mama!

Kusema ukweli Ile roho ya ulijali ina milango ya kuingia! Moja ya mlango mhimu sana ni kupitia tohara, anaefanyiwa aone!

Msifikiri mababu wa kale walikurupuka! Sipingi njia za kizungu bali naomba wakati zinapotumika angalau mtoto awe anajitambua.

Mwanaume aliyetahiliwa ukubwani ana nafasi kubwa sana kuvumilia mikikimikiki katika kulinda uanaume wake
Mungu alisema watahiriwe wakiwa na siku 8 tu toka kuzaliwa ( katika Torati) .......... vip tukuamin ww umefanya utafit wako umeuchapisha katika jarida gan? na ulichukua sample ipi na maeneo ya utafiti ni jamii ipi na ipi umeifanyia utafiti?
 
Habari wapendwa!

Leo naomba kuwapeni tafakari kuhusu ushoga halafu nyinyi kama wataalam mtaona namna ya kuliweka kisomi.

Utaratibu wa kuwatahiri watoto wakiwa wachanga ni moja ya pigo kubwa sana linalochangia kuondoa uvumilivu katika nafsi ya mtu.

Iko hivi ujasiri ni mbegu inayopandwa na udhaifu ni mbegu inayopandwa!

Ingekuwa amri yangu ningepiga marufuku watoto wa kiume kutahiriwa kabla ya miaka 4.

Watoto wanapotahiliwa kuanzia umri huo na kuendelea huwa inawaongea sana (ulijali) ujasiri na uvumilivu katika maisha yao yote!

Ni vigumu sana watoto waliotahiliwa ukubwani kuja kuwa mabwabwa!
Hata wakibakwa kwa bahati mbaya lazima watadta matibabu ya kusafishwa ili wasiendelee na huo mchezo!

Lakini kuwatahili watoto wakiwa wachanga kwa maoni yangu! Wakifika ukubwanj ile roho ya ulijali inakuwa dhaifu sana kwao!

Bahati mbaya sana siku hizi mazoezi hayo yanasimamiwa na mama zao peke yao! Wazazi wa kiume mnawaachia jukumu hilo kina mama!

Kusema ukweli Ile roho ya ulijali ina milango ya kuingia! Moja ya mlango mhimu sana ni kupitia tohara, anaefanyiwa aone!

Msifikiri mababu wa kale walikurupuka! Sipingi njia za kizungu bali naomba wakati zinapotumika angalau mtoto awe anajitambua.

Mwanaume aliyetahiliwa ukubwani ana nafasi kubwa sana kuvumilia mikikimikiki katika kulinda uanaume wake
Hapa hakuna hoja. Tunaowaita wazungu hawana hiyo mila ya kutahiri, yet tunasema wanafanya ushoga, angalau wanasema kuliko sisi tunaoficha.
 
Njia pekee ya kumaliza tatizo hili ni kutungwa kwa sheria kali ambazo zitawawajibisha wote wanao jihusisha na hizi tabia.
Wakinyongwa wawili watatu nani atatoa au kutumia washeli!?!?
 
Siku hz hata kutahiri hawawatahiri.. wanawafunga kampira imeisha hyo.
Watoto wa siku hz hawajui maumivu ya kuvumilia kisu kikali huku wakubwa wakikuimbia nyimbo za shangwe na kukupongeza kwa kuingia kiumeni.
Siku hizi ni mambo ya "junia junia" kifala!
Bladihenken!
 
Kutahiri hakuna uhusiano wowote na upunga wa mtu.

Japo malezi na baadhi ya matukio katika makuzi kimaisha yanaweza kuchangia ushoga ila kiafrika hasa TZ asilimia kubwa ya mapunga ni sababu ya tamaa zao kimaisha.

Vijana wa sasa hivi wamekosa uvumilivu wa maisha uliochanganyika na tamaa ya vitu vizuri.

Vijana wanaendesha ma vogue huku vinyeo vikivuja manii za wanaume wenzao waliolipia hayo ma vogue.

Mtoto wa kiume anaenda kutoa jicho ili apate hela ya kula jicho la mtoto wa kike. Yote ni uvivu wa kutafuta kwa jasho.

Sio ajabu kwa dunia ya leo jamaa na demu wake wakiwa wanaliwa na mwanaume mmoja.

Kwa sasa suluhisho ni moja tu, kuasa kizazi chako nyumbani kwako.
 
Sa100 anataka ushoga uendelee ili apate misaada ndiyo maana kila anayejitokeza hadharani kukemea tabia hii chafu anashughulikiwa.
Ana hasara gani ikiwa visiwa vya karafuu kila bwana ana bwana ake.
 
Marekani na Ulaya asilimia kubwa hawaja tahiriwa na wanatoa tigo hatariiii.
Siyo kweli kwamba asilimia kubwa hawajatahiliwa! Lakini pamoja na yote hoja yangu NI MTU AKIONA YALE YA machungu Ya tohara lazima athamini uanaume wake
 
Siku hz hata kutahiri hawawatahiri.. wanawafunga kampira imeisha hyo.
Watoto wa siku hz hawajui maumivu ya kuvumilia kisu kikali huku wakubwa wakikuimbia nyimbo za shangwe na kukupongeza kwa kuingia kiumeni.
Siku hizi ni mambo ya "junia junia" kifala!
Bladihenken!
Yes hoja yangu watoto wawe wamekua kiasi ili waone machungu ya kuwa mwanaume ili wakiwa wakubwa watambue gharama ya uchungu wa tohara na kuilinda
 
Njia pekee ya kumaliza tatizo hili ni kutungwa kwa sheria kali ambazo zitawawajibisha wote wanao jihusisha na hizi tabia.
Wakinyongwa wawili watatu nani atatoa au kutumia washeli!?!?
Wauaji sheria inasema wanyongwe na hakuna aliyenyongwa tangu 1994. Na hata kipindi walipokuwa wananyongwa mauaji yaliendelea kuwepo.
 
Hapa hakuna hoja. Tunaowaita wazungu hawana hiyo mila ya kutahiri, yet tunasema wanafanya ushoga, angalau wanasema kuliko sisi tunaoficha.
Sasa ulichokijbu mbona uko upande wangu! Asiyetahiriwa na anaetahiriwa akiwa mchanga wote ni kundi moja! WALIOTAHIRIWA WAKIWA WANAJITAMBUA ILE KUMBUKUMBU HUWAONGEZEA Uchungu wa kujitambua na kujithamini uanaume wao kuliko hao wasiyo tahiri au waliotahiriwa wachanga
 
Habari wapendwa!

Leo naomba kuwapeni tafakari kuhusu ushoga halafu nyinyi kama wataalam mtaona namna ya kuliweka kisomi.

Utaratibu wa kuwatahiri watoto wakiwa wachanga ni moja ya pigo kubwa sana linalochangia kuondoa uvumilivu katika nafsi ya mtu.

Iko hivi ujasiri ni mbegu inayopandwa na udhaifu ni mbegu inayopandwa!

Ingekuwa amri yangu ningepiga marufuku watoto wa kiume kutahiriwa kabla ya miaka 4.

Watoto wanapotahiliwa kuanzia umri huo na kuendelea huwa inawaongea sana (ulijali) ujasiri na uvumilivu katika maisha yao yote!

Ni vigumu sana watoto waliotahiliwa ukubwani kuja kuwa mabwabwa!
Hata wakibakwa kwa bahati mbaya lazima watadta matibabu ya kusafishwa ili wasiendelee na huo mchezo!

Lakini kuwatahili watoto wakiwa wachanga kwa maoni yangu! Wakifika ukubwanj ile roho ya ulijali inakuwa dhaifu sana kwao!

Bahati mbaya sana siku hizi mazoezi hayo yanasimamiwa na mama zao peke yao! Wazazi wa kiume mnawaachia jukumu hilo kina mama!

Kusema ukweli Ile roho ya ulijali ina milango ya kuingia! Moja ya mlango mhimu sana ni kupitia tohara, anaefanyiwa aone!

Msifikiri mababu wa kale walikurupuka! Sipingi njia za kizungu bali naomba wakati zinapotumika angalau mtoto awe anajitambua.

Mwanaume aliyetahiliwa ukubwani ana nafasi kubwa sana kuvumilia mikikimikiki katika kulinda uanaume wake
Solution ni kila mtu mzima afate maisha yake ya kimahusiano
 
Sasa ulichokijbu mbona uko upande wangu! Asiyetahiriwa na anaetahiriwa akiwa mchanga wote ni kundi moja! WALIOTAHIRIWA WAKIWA WANAJITAMBUA ILE KUMBUKUMBU HUWAONGEZEA Uchungu wa kujitambua na kujithamini uanaume wao kuliko hao wasiyo tahiri au waliotahiriwa wachanga
Kama tuko pamoja hakuna lililoharibika mkuu.
 
Back
Top Bottom