Hivi ndivyo tendo la NDOA linavyoombwa na baadhi ya Makabila

Mh!! Samahani, Wrong toilet!! tehe tehe
 
Wanyamwezi safi sana na rahisi sana.

" Nya wa Kalunde, ene nuwigwa mbeho" yaani "Mama kalunde, mimi nahisi/nasikia baridi".

Hahahaha! Dah! Kiongozi mbavu zangu tafadhali. Nimecheka mpaka basi!
 
Mamushka hicho ni kilio baada ya mtarimbo kutumbukia sehemu yake.
Tunataka utuambie kabla haijafikia hatua hiyo, muzee alikuambije mpaka ukakubali kujimwaga kwenye sita kwa sita ilhali ukijua fika kabisa utatoa hicho kilio?

Jibu hili hapa chini kwa shemeji

Wanyamwezi safi sana na rahisi sana.

" Nya wa Kalunde, ene nuwigwa mbeho" yaani "Mama kalunde, mimi nahisi/nasikia baridi".
 

Dah! Kiongozi leo umeamua kunivunjia mbavu zangu namna hii? LOL!
 
ha ha ha hii kali bora jioni yangu inaisha vizuri
 
huyu sikonge anamaliza mbavu zetu!

hivi kule kigoma inakuwaje mkuu SIKONGE?
Sikonge usiseme tafadhali. Mbavu zangu bado hazijakaa sawa!
 
umekula senksi hapo kwasababu wewe unaziheshimu MILA na tamaduni,na kwakweli wewe UNADUMISHA MILA
kuna mambo matatu siyaelewi,
naam, manne yanayonitattiza
kwanza kutodumisha Mila
mengine nimeshayaelewa.
 
Segito Melage usasamu bhe?
hhehehehe!bela UNOGE?
hahahahaha!nziwiike kutaali saaana yani...!

avangi vitigila ''BELA NDE MUYAGO NGUKUDOBOKA KWELI YANI...!tulikibita ku-mahame tukasake nzagala?πŸ˜€πŸ˜€
 
Hivi wanawake nao WANADUMISHA MILA?
rekordi zangu zinaniambia WANAWAKE WANAONGOZA KWA KUDUMISHA MILA!kuna formula moja ukiplug in statistical dataaz fulani utaona MADHARA YA KUDUMISHA MILA NA WATU WANAOKUMBWA NAO
 
kuna mambo matatu siyaelewi,
naam, manne yanayonitattiza
kwanza kutodumisha Mila
mengine nimeshayaelewa.
umekula senksi kwa kuandika mafumbo ambayo sijayaelewaπŸ˜€πŸ˜€
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…