Hivi ndivyo tulivyotapeliwa na Ontario wa TMT kwenye Forex

thanks forex nilijua hata kabla ya ontario kuleta uzi huu.
 
Mtu Aliyenunua Hata Lexus Au Kujenga Nyumba Au Kuestablish Stable Business Pesa Katoa Forex Embu Aseme Hapa Maana Comments Mnasema Mnapakua Mpesa Usd 50 Kwa Siku,ila Hamjasema Mafanikio Mwee,embu Tuvutieni Na Sisi Watanzania Wenzenu Tuingie Kama Ambavyo Ontario Alivyowavuta Na Story Ya Mansion Na Mercedes O Km,
 
Mkuu hiyo bznes watu wameanza mwishon mwa mwaka jana tu leo hii wajenge? Imekuwa ni kuchota hela et? Hakuna bznes ya hivyo ile bznes ukiitazama kwa haraka unawezafikiri ni nyepesi lkn ingia kuifanya ndo utajua ugumu wake hasa ukiwa na ka acc ka dola 100 ndo itakuwa unachoka tu
 

Mkuu usiunyeshe ujimga wako mbele ya watu you know nothing
 
Word..... unakula leo $50.. siku mbili baadaye unaunguza kila kitu then the cycle begin
 
 
Warren buffet(the intelligent investor)
"mistakes comes from misunderstanding"
kwa iyo ndugu zangu nawashauri kutoingia kwenye biashara yoyote pasipo kuifahamu,jitahidi kwanza kuifahamu kupitia kujifunza(kusoma) business books,na vinavyohusu biashara yenyewe.ndipo huweze kuemploy pesa yako.
by malima ,the intelligent investor.
 
Chief chief nimesema tokea mwanzo kuna kitu behind FOREX... .. kikubwa tu ndo maana nasema FOREX is like Betting.
Usipende kufananisha fananisha vitu boss .

Na hii inaonyesha wewe forex huijui kabisa yaani empty kabisa .

Na ndio maana wapambe nuksi wengi humu .

Wanajidai walitoa maonyo wakati hio forex yenyewe hata kitabu kimoja hawajawahi shika .

Na hawajui kitu kabisa

Mimi namshukuru Ontario kunifumbua macho lakini namlaumu yeye na timu yake kufanya tunaofanya forex kweli kuonekana tumepotea njia .

Na nashauri tu moja afunge hio kampuni yake au awe trainer mambo ya kuwapa watu signal kkuwa chagulia beokers ndio hutuletea kelele watu wapuuzi kama kama hivi tunaovyoona hapa

Forex is real forex is not for everyone forex is very risk

Forex 50% is technique and remaining 50% is pyschology .

Kama hujui vitu hivi plizi stay out acha kumwaga sumu hapa
 
Kuna kitu sijakuelewa mkuu
yaan b broker uki sell ye ana buy?ina maana ukichukua mt4 mbili ya ECN broker kama pepperstone au tickmill nab broker like jp markerts afu uka place the same order kwa pair moja lets say EURUSD pote pote wth same sl na tp je graph zinakwenda in different direction au vip yaan hapa ndo huwa sielewagi broker anakuibiaje apart fromSPREAD kubwa
 
Acha kupenda kitonga mtu mzima na ndefu zako yeye hata hakujui anaanza wapi kukupa hela kubwa kama laki 4 .

We jamaa hata hujui kujiongeza mtu wa ajabu sana

Yaani jibaba zima linasubiria laki 4 kwa dogo hahahah


Na angekupa ungeichoma ndani ya dakika kadhaa au ungeenda kuhonga na kunywea viroba huko uchochoroni

Bora alivyonyuti

Siku ingine akili yako ifanye kazi vizuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…