granitized
JF-Expert Member
- Jul 5, 2016
- 3,249
- 7,948
Ni kweli huyu nikimburuza mahakamani anapanda karandinga kirahisi sana na fidia anatulila ya kutosha tu.
Sema nasikia ana acute disease kama Mimi hapa. Nitaua!
We differ! That's why its me bruh!Listen, if I were you I’d quietly explore my legal options first before I come here and throw accusations.
Mkuu usitake kutuvuruga nimekutafsiria hiyo disclaimer inamaanisha nini ila naona unazidi kujitia upofu huelewi. Na nimekuwekea mpaka link ya mtu aliekuwa tapeli huko USA katika forex na kifungo cha miaka 14.Risk Warning: Trading financial products on margin carries a high degree of risk and is not suitable for all investors. Losses can exceed the initial investment. Please ensure you fully understand the risks and take appropriate care to manage your risk
Hyo kitu mpaka kwenye fomu za kujiunga ilikuwepo...How do you sue him...hapa ni kukubaliana na hali tu kisha unasonga mbele..Akipata wakili mzuri humfanyi chochote.. Itakuwa kama ile kesi ya mtoto wa kike aliyedai alilazimishwa kutembea na mbwa na mzungu..nadhani unakumbuka jinsi Masumbuko Lamwai alivyoimaliza kibingwa na mdada akaonekana alikuwa Ka.....ba fulani tu.
Ahahaha!! Nikileta kitu nikakwambia ni fursa don't trust me..nitakunyoosha tu maana I have realize to not show love or mercy.Kwa hyo umekubali yaishe au?????Au na wewe unataka kuanzia kaponzy kako kwa hyo unatafuta wateja kwa mgogo wa mwenzako....hahahahaa just thinking loud...si unajua tena mambo ya fursa mkuu...usimind lakini
Mkuu usitake kutuvuruga nimekutafsiria hiyo disclaimer inamaanisha nini ila naona unazidi kujitia upofu huelewi. Na nimekuwekea mpaka link ya mtu aliekuwa tapeli huko USA katika forex na kifungo cha miaka 14.
Sasa kama unatetea wateja hawakushikwa mikono kwenda TMT kutrade na unazidi kutetea hiyo Risk Disclaimer, unadhani huyo aliefungwa marekani wateja wake walikuwa hawajui hiyo risk disclaimer???
Acha kufananisha RISK na SCAMM. Hapa hatuzungumzii Risk na hakuna Forex trader asiejua kuwa forex ni biashara yenye highy risks(Labda hao wanafunzi wa Jangid walifunzwa forex sio high risk business).
Hapa tunazungumzia Scamm yaani utapeli. Kitendo cha kuongeza spreads kwa nchi kama marekani sasa hivi angekuwa jela muda mrefu sana.
Pitia hapa tena uone matapeli wa forex wanavyosombwa huko USA kila siku. Wale wa Jangid hawajaamuliwa tu.
Dozens of forex traders arrested
Juzi tu kuna jamaa wa BFG wale wa Sata africa walipelekwa mahakamani kwa masuala kama haya haya.Mkuu usitake kutuvuruga nimekutafsiria hiyo disclaimer inamaanisha nini ila naona unazidi kujitia upofu huelewi. Na nimekuwekea mpaka link ya mtu aliekuwa tapeli huko USA katika forex na kifungo cha miaka 14.
Sasa kama unatetea wateja hawakushikwa mikono kwenda TMT kutrade na unazidi kutetea hiyo Risk Disclaimer, unadhani huyo aliefungwa marekani wateja wake walikuwa hawajui hiyo risk disclaimer???
Acha kufananisha RISK na SCAMM. Hapa hatuzungumzii Risk na hakuna Forex trader asiejua kuwa forex ni biashara yenye highy risks(Labda hao wanafunzi wa Jangid walifunzwa forex sio high risk business).
Hapa tunazungumzia Scamm yaani utapeli. Kitendo cha kuongeza spreads kwa nchi kama marekani sasa hivi angekuwa jela muda mrefu sana.
Pitia hapa tena uone matapeli wa forex wanavyosombwa huko USA kila siku. Wale wa Jangid hawajaamuliwa tu.
Dozens of forex traders arrested
Mimi sijawahi kuhudhuria training za jangid na hajawahi kunitapeli hata 100.Haya mkuu Daudi tutoke nje ya Fekero tuende kumsue ontario....huku kujificha nyuma ya fekero wala haisaidii lolote...tunapoteza tu nguvu hapa mbayo kimsingi ilitakiwa tuielekeze TMT
Juzi tu kuna jamaa wa BFG wale wa Sata africa walipelekwa mahakamani kwa masuala kama haya haya.
Na wamekalia kuti kavu uwezekano wa kufungwa ni mkubwa sana.
Linafiki likubwa wewe.
Umekimbia group la TMT 2 baada ya kuumbuka unafiki wako.
Pumbavu eti ukawa unatushawishi nasie tutoke wote sijui ili iweje.
Na hatujatoka, na hatutotoka.
Ndio maana umefukuzwa magroup yote ya TMT kwa aibu kubwa baada ya kuumbuka unafiki wako.
Lione mimacho.
Spiritual gani linafiki hivi.
Msukule huu hapa..unadhani kwa ule moto niliouwasha mule angenibakiza tapeli wako.Linafiki likubwa wewe.
Umekimbia group la TMT 2 baada ya kuumbuka unafiki wako.
Pumbavu eti ukawa unatushawishi nasie tutoke wote sijui ili iweje.
Na hatujatoka, na hatutotoka.
Ndio maana umefukuzwa magroup yote ya TMT kwa aibu kubwa baada ya kuumbuka unafiki wako.
Lione mimacho.
Spiritual gani linafiki hivi.
We differ! That's why its me bruh!
Juzi tu kuna jamaa wa BFG wale wa Sata africa walipelekwa mahakamani kwa masuala kama haya haya.
Na wamekalia kuti kavu uwezekano wa kufungwa ni mkubwa sana.
Niambie bosiMnyamaaaaaaAaaaaaa
Mimi ni mnafiki ila tapeli wenu ni world class mnafiki.Hivi ni BFG au ni undercoverbillioners???mkuu naona kuna mtu amekupurumua huku kuwa wewe ni mnafiki mkubwa....duuuuuuuuu
Niambie bosi
Mimi ni mnafiki ila tapeli wenu ni world class mnafiki.
Yaani ukiletea fursa ndio utupige!? Hell no!
Mimi sijawahi kuhudhuria training za jangid na hajawahi kunitapeli hata 100.
Namshukuru sana kwa kunionesha njia ya forex. ASANTE ONTARIO.
Ila tangu mwanzo kabisa nilimpotezea kwa aina ya dharau,kejeli na kujiona. Nilimshukuru kwa mwanga alionipa nikawa nasoma online,nauliza kwa watu mambo kadhaa, nacheki YouTube forex tutorials N.K... Mimi huwa sipendi dharau.
So kabla sisi tusiohusika na kupigwa Maprofit,Mapips na Maspread ya ukubwa wa mashine za kuchenjulia makinikia. Tunawaomba nyie wahanga wakuu mchukue hatua. Nyie ndio mnajua makubaliano mliyoingia nae. Sisi tunawaonesha mifano ya nchi zingine wanavyodeal na forex scammers.
Huko WhatsApp wako kama picha tu wanamchora tu tapeli wanamuona bishoo tu..muda huu wako telegram wanakinukishaWameshaapa hawatoki ng'o hata masikio yatoke damu hawatoki milele.
Huko WhatsApp wako kama picha tu wanamchora tu tapeli wanamuona bishoo tu..muda huu wako telegram wanakinukisha.View attachment 738318
Ahahaha!! Watu wanapasuana huko telegram. Yaani badamu banamwangika huko.HAHAHAHAAAAAA ETI REAL DEFINITION OF MISUKULE....DUUUUUU